Extra focus
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 659
- 1,284
Mkuu wewe una wasiwasi na yeye kuwa mwanajeshi au una wasiwasi na ujumbe aliotoa?View attachment 3483210
Je kweli ni mwanajeshi au kavaat mavazi jeshi
Je ni kweli yupo kikosi cha anga
Je kuna watu wamesoma nae majirani wanaweza kuthibisha kuwa ni mwanajeshi
JWTZ pia watoke watoe tamko nani ni captain tesha
Kachafua hali ya hewa sana leo hapa nchini
What happened today is symbolic and strategic at the same time. Serikali ilaanza kudemoralize watu kwa kupitisha Askari, and then a much bigger counter came, equations zimebadilika kabisa.Kweli mahangaiko si mazuri, ebu nifafanulie zaidi.
Akina Thomaso mweh!View attachment 3483210
Je kweli ni mwanajeshi au kavaat mavazi jeshi
Je ni kweli yupo kikosi cha anga
Je kuna watu wamesoma nae majirani wanaweza kuthibisha kuwa ni mwanajeshi
JWTZ pia watoke watoe tamko nani ni captain tesha
Kachafua hali ya hewa sana leo hapa nchini
Lissu Magufuli hawa wote sio watoto wa mjini tena Magufuli ndo kabisa kwao chato Mjini alikuja kusoma na akawa anasoma chuo Lissu vile vile mjini Imemleta shule hawa Kumbunga walikua vipanga miaka hiyo tunasema wale watukutu wenye akili kila mtu tujau Magufuli alifukuzwa Seminary kitendo cha kusoma seminary akili ilikuemo. Tunajua msimamo ya Lissu shuleni JKT je Lissu pamoja na ukipanga akuingia Tiss kwa rada Tiss sio wale Tiss wazalendo ilo linabaki fumboUnafikiri Lissu ni mfanyabiashara na mtoto wa mjini kama Mbowe! Ambaye ukimuwekea hela mezani hachomoki? Muulize Abdul alipokwenda na begi la hela nyumbani kwa Lissu kwa lengo la kumziba mdomo, tena akisindikizwa na Wenje! Halafu nini kilitokea.
Nimekusoma.tena
Basi jeshi litakanusha na atatafutwa
Wewe jichanganye tarehe 29/ 10 ndiyo utaijuwa nembo halisi ya JWTZOk tuletee nembo halisi inafananaje.
Ukikanusha njoo na uhalisia sio zile stori kama za polisi kuwa kifo cha Mzee Kibao hawahusiki halafu uchunguzi unaendelea halafu hadi leo ni mwaka.
Ukikanusha njoo na uhalisia hatutaki story nyingi.
Hili ndio jibu la nilichouliza?Wewe jichanganye tarehe 29/ 10 ndiyo utaijuwa nembo halisi ya JWTZ
Utaijuwa siku ya siku ukiwa umeshavunjwa ugoko na miguu imefungwa mawe hospitaliHili ndio jibu la nilichouliza?
Ipo wapi nembo halisi iweke hapa tusiofahamu tujue.
Jibu swali hivyo vitisho wapelekee huko ulipo.Utaijuwa siku ya siku ukiwa umeshavunjwa ugoko na miguu imefungwa mawe hospitali
πππππ very possible.Hii ni "sukari trap" nini kupata "rouge elements" zote huko
Ok kwakuwa umeshindwa kuweka nami nakuuliza hao kwenye video hii ya kamandi ya anga pia ni feki??Utaijuwa siku ya siku ukiwa umeshavunjwa ugoko na miguu imefungwa mawe hospitali
We matrakoo kweli,hata wavunje moyo tutpo tuu usitutisheUtaijuwa siku ya siku ukiwa umeshavunjwa ugoko na miguu imefungwa mawe hospitali