kitalolo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2006
- 1,827
- 708
Amekwenda kukutana na kamati ya bunge ya mambo ya nje , ulinzi na usalama huko. Sijaelewa mantiki hapa maana nafikiri kuna kitu kinaendelea hapa.
Hivi hivi walikuwa wanenda kukutana na wawekezaji kwenye hotel nje ya nchi wanauza hii nchi. Tukijakustuka mamikataba mibovu imesainiwa nje ya nchi.
Aise huu si udhaifu tu bali ni urahisi sana.
Hivi hivi walikuwa wanenda kukutana na wawekezaji kwenye hotel nje ya nchi wanauza hii nchi. Tukijakustuka mamikataba mibovu imesainiwa nje ya nchi.
Aise huu si udhaifu tu bali ni urahisi sana.