Ongeza na pombe kali.Madame B lini twende Rudis Farm tukale Kitimoto chops and ribs chakaza?
Ongeza na pombe kali.Madame B lini twende Rudis Farm tukale Kitimoto chops and ribs chakaza?
Yesu alikuwa akijibu takwa la Mafarisayo kunawa mikono kabla ya kula. Haina uhusiano kabisa na nyama najisi au safi. Sheria ya Mungu ya agano la kale kuhusu wanyama najisi IKO PALE PALE!Na article hii pia:
hermeneutics.stackexchange.com/questions/25242/in-acts-10-why-does-peter-not-already-know-that-he-can-eat-foods-previously-reg
Mtume Petro mwenyewe aliyeyasikia mafundisho ya Yesu na kumuomba ufafanuzi, miaka karibu kumi baada ya Yesu kuondoka duniani anasema hajawahi kula nyama iliyo najisi,Yesu alikuwa akijibu takwa la Mafarisayo kunawa mikono kabla ya kula. Haina uhusiano kabisa na nyama najisi au safi. Sheria ya Mungu ya agano la kale kuhusu wanyama najisi IKO PALE PALE!
Naomba unisaidie kidogo Ndugu.naona unajaribu kujenga hoja kwa kuangalia tu nyaraka za paulo, vipi kuhusu Yesu kwenye marko 7 : 18-22? hapo unasemaje. alivitakasa si tu vyakula bali na vinywaji. #si kimuingiacho mtu bali kimtokacho ndicho kinacompa mtu unajisi# biblia ipo wide mkuu usijaribu ukiitafsiri ukiwa closed minded but try to be opene minded.
M napata shida,,,n Kwa nini SDA hawatumii samaki wasio Na magamba?