Je! Bei ya gesi ikoje mtaani kwenu baada ya kupita Kwa bajeti mpya Kwa Mwaka 2025/2026?

Je! Bei ya gesi ikoje mtaani kwenu baada ya kupita Kwa bajeti mpya Kwa Mwaka 2025/2026?

nyocksie

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2015
Posts
408
Reaction score
267
Julai mosi, 2025 bajeti ya mwaka 2025/2026 ilipitishwa na Bunge letu; moja ya mambo yaliyopitiwa ni kuondole kwa ushuru wa ongezeko la thamani (VAT) Kwenye gesi za kupikia (LPG); kusudi lilikua kuhamasisha matumizi ya gesi badala ya nishati kama kuni na mkaa, kama njia ya kupunguza uharibifu wa mazingira (ukataji miti).

Mpaka sasa mwezi umepita lakini Kwa eneo nilipo gesi haijapungua bei. Kwa eneo ulilopo Hali iko vipi? Kama gesi haijapungua bei, je! Wasimamizi wa nishati wanaochukua changizo zetu kupitia mafuta, maji na gesi yenyewe wanatuchukuliaje? Au bajeti ya nchi sio kitu serious kiasi hicho mpaka wafanya biashara wanadidishia mamlaka?
 
Sina haja ya kujua Bei nitaupeleka mtungi kwa pastor Tony,akaupulizie gesi
 
Kwa matumizi ya familia ndogo au mtu mmoja umeme ni nafuu lakini sio familia kubwa. Besides umeme sio cheap nchini Tanzania.
Acha TU Mzee. Elimu elimu elimu

Jiko la umeme ni nafauu salama kwa afya ya mtumiaji na Kwa mazingira piaw
 
Kwa matumizi ya familia ndogo au mtu mmoja umeme ni nafuu lakini sio familia kubwa. Besides umeme sio cheap nchini Tanzania.
Yah uko sahihi.
Tanesco inabidi wapunguze bei , ila sion dalili. Maana wanasema pesa za miradi ya umeme ni mikopo Soo inabidi wananchi wakatwe zaidi Ili deni lilipike Kwa wakati.

Kazi na utu tunasonga mbele
 
Julai mosi, 2025 bajeti ya mwaka 2025/2026 ilipitishwa na Bunge letu; moja ya mambo yaliyopitiwa ni kuondole kwa ushuru wa ongezeko la thamani (VAT) Kwenye gesi za kupikia (LPG); kusudi lilikua kuhamasisha matumizi ya gesi badala ya nishati kama kuni na mkaa, kama njia ya kupunguza uharibifu wa mazingira (ukataji miti).

Mpaka sasa mwezi umepita lakini Kwa eneo nilipo gesi haijapungua bei. Kwa eneo ulilopo Hali iko vipi? Kama gesi haijapungua bei, je! Wasimamizi wa nishati wanaochukua changizo zetu kupitia mafuta, maji na gesi yenyewe wanatuchukuliaje? Au bajeti ya nchi sio kitu serious kiasi hicho mpaka wafanya biashara wanadidishia mamlaka?
Mwulize Pastor Tony, usichoshe watu bure😡😡
 
Back
Top Bottom