JE bado niamini kuwa ananipenda

JE bado niamini kuwa ananipenda

Zinduka ww hayo yote ni matokeo ya tabia zako ww hapo mwanzo umemtengenezea mitazamo tofauti na sasa ulikuwa unapritend vitabia sasa umerudi katika uhalisia wako cha kufanya jutiaa tu afu utakuwa umejifunza jinc ya kuishi naye
Kama vile umeongea point ya maana
 
Mchumba wangu ananifanyia yafuatayo japo anasema ananipenda
1:Yupo Whatsapp online lakini hata meseji anitumie
2:Yupo Facebook online niki mtumia text ajibu
3:Tukigombana kidogo ananiambia tuachane
4:Anakaa kimya hata heri ya Noeli sijapata
5:Ananijibu jeuri,ana niambia nina boa
Je nieendelee kuamini kuwa ananipenda
nb mimi ni mwanaume

Unaboa
 
Mchumba wangu ananifanyia yafuatayo japo anasema ananipenda
1:Yupo Whatsapp online lakini hata meseji anitumie
2:Yupo Facebook online niki mtumia text ajibu
3:Tukigombana kidogo ananiambia tuachane
4:Anakaa kimya hata heri ya Noeli sijapata
5:Ananijibu jeuri,ana niambia nina boa
Je nieendelee kuamini kuwa ananipenda
nb mimi ni mwanaume
Hakupendi hatakidogo huyo. Chapa lapa fasta .
 
ID yako tu imeshaonyesha kuwa Wewe ni Goigoi na hujiamini sasa unataka tuchangie nini tena Mkuu? Muwe mnaangalia na ID mnazosajili nazo humu kwani zinaweza kuwa na madhara Kimantiki kwa ama baadhi ya threads zako au posts zako. Kwanza waombe radhi haraka Maaskari wote kwa kukiri kwako kabisa kuwa Wewe ni Muoga. Hivi kuna Askari aliyefunzwa kabisa na akawa muoga kama ulivyowadhalilisha Wewe hapo katika ID yako?
Hahaha askari muoga.
 
Mchumba wangu ananifanyia yafuatayo japo anasema ananipenda
1:Yupo Whatsapp online lakini hata meseji anitumie
2:Yupo Facebook online niki mtumia text ajibu
3:Tukigombana kidogo ananiambia tuachane
4:Anakaa kimya hata heri ya Noeli sijapata
5:Ananijibu jeuri,ana niambia nina boa
Je nieendelee kuamini kuwa ananipenda
nb mimi ni mwanaume

Endelea kuamini kua anakupenda na hiyo ni test kama na wewe unampenda. Muhimu punguza kumtafuta kwenye magroup ya FB na Whatsap, tumia sms za kawaida au uwe unampigia. asipopokea ama kujibu ndo ujue anakupima zaidi maana huko FB na whatsap ako na mabebiz wengine wanaomtegema so list ni ndefu kuja akufikie ni almost muda umeenda na umeshatoka online so anaona haina haja
 
Mvulana ukiambiwa unaboa kimbia mbio mbio tafuta msichana mtakaeendana hasa kiakili
 
mr-omar.jpg

Oooh Mr Omar ...Tragic Tragic [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa alikuwa hachezi mbali na wajane
 
Hata kama kusoma hujui na picha huoni, kama anakuambia unaboa maana wakati yuko oline anachatai na wanaomfurahisha. Msichana kwani yupo mmoja tu
 
Back
Top Bottom