JE bado niamini kuwa ananipenda

JE bado niamini kuwa ananipenda

Mchumba wangu ananifanyia yafuatayo japo anasema ananipenda
1:Yupo Whatsapp online lakini hata meseji anitumie
2:Yupo Facebook online niki mtumia text ajibu
3:Tukigombana kidogo ananiambia tuachane
4:Anakaa kimya hata heri ya Noeli sijapata
5:Ananijibu jeuri,ana niambia nina boa
Je nieendelee kuamini kuwa ananipenda
nb mimi ni mwanaume
Kwani we unatakaje?
 
Mkuu wakat mwingine naonaga ni roho mbaya tu au labda mtu ame loose common sense, kama humpend mtu si umuambie tu, kuna haja gani ya kuonesha signs na kumtesa mwenzio si unatamka mtu sentensi moja kua sikupendi tafuta mwingine...sjui kwanini hua inakua ngumu kutamka anataka amuone tu jamaa akihangaika na kuumia ...
Yaani sio poa kabisa.
ila jamaa nae miyeyusho haoni kwamba mwanamke hampendi halafu bado anauliza kuwa anapendwa au hapendwi.....


This is so sad.......
I hate it...... Man...!!!
 
Penda unapopendwa, usipopendwa stress zinatosha ...
 
Mchumba wangu ananifanyia yafuatayo japo anasema ananipenda
1:Yupo Whatsapp online lakini hata meseji anitumie
2:Yupo Facebook online niki mtumia text ajibu
3:Tukigombana kidogo ananiambia tuachane
4:Anakaa kimya hata heri ya Noeli sijapata
5:Ananijibu jeuri,ana niambia nina boa
Je nieendelee kuamini kuwa ananipenda
nb mimi ni mwanaume
Endelea kuamini tu ila hakupendi!
 
Utakua unaboa kweli,kama huji thamini kutwa kumganda badala ya kufanya kazi.
 
Back
Top Bottom