JE bado niamini kuwa ananipenda

JE bado niamini kuwa ananipenda

Emb na wewe jaribu kufanya hivo hivo.. Yaani usimtext usimpgie simu wala usimtafute kwa lolote uone itakuwaje.. Nadhani majibu yako utayapata kwa namna hiyo na sio Kwa kituuliza sisi mkuu..
asante kiongozi nami nimeanza leo kukaa kimya
 
Kikubwa ukiomba k akupe na akikupa ukimwaga ujickie ile raha utamu mengine fuata yako mkuu.
 
We bado mgeni sana.huyo ni bitch unatia Huruma bure tu.achana nae anakupotezea muda
 
Ishi na mwanamke kwa akili.....
Ukiona hafai achana nae,
ila kama utakomaa nae atakuumiza sana kichwa baadae.

Hapo tumia akili yako mkuu........

Happy new year ( * 2017 * ) soon.............!!!
 
Ishi na mwanamke kwa akili.....
Ukiona hafai achana nae,
ila kama utakomaa nae atakuumiza sana kichwa baadae.

Hapo tumia akili yako mkuu........

Happy new year ( * 2017 * ) soon.............!!!
Mkuu wakat mwingine naonaga ni roho mbaya tu au labda mtu ame loose common sense, kama humpend mtu si umuambie tu, kuna haja gani ya kuonesha signs na kumtesa mwenzio si unatamka mtu sentensi moja kua sikupendi tafuta mwingine...sjui kwanini hua inakua ngumu kutamka anataka amuone tu jamaa akihangaika na kuumia ...
 
Vitu ka hvyo hupaswi kuulza mkuu yamenitokea mkuu bt i took a chance and made a decision kuliko kuwa na stress na mtu asiye na time na wewe its better uachane nae learn to make sacrifices to get happiness delete huyo ni junk file tu
 
Back
Top Bottom