oncogene
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 306
- 157
He should go to Mr Omar for a brand new casket for his dead love




He should go to Mr Omar for a brand new casket for his dead love




Hahaha!! Huku kukuzana sasa miss chagga jamani!!!sijambo shikamoo
sijambo mnooo.. karibu mbegeHahaha!! Huku kukuzana sasa miss chagga jamani!!!
Anyway marahaba hujambo mtoto mzuri
Akhsante sana nakaribia mkuu ilasijambo mnooo.. karibu mbege
Blaki Womaniendelea kuamini kwamba anakupenda
Blaki Womani
hamna aisee kwani hutaki mbege wewe?Akhsante sana nakaribia mkuu ila
Kuna kinywaji kingine tofauti na mbege?
Nauliza tu
Fresh tu mkuuvipi mkuu
Naweza kutaka miss chagga ila ndo mara yangu ya kwanza aiseee!!hamna aisee kwani hutaki mbege wewe?
Mchumba wangu ananifanyia yafuatayo japo anasema ananipenda
1:Yupo Whatsapp online lakini hata meseji anitumie
2:Yupo Facebook online niki mtumia text ajibu
3:Tukigombana kidogo ananiambia tuachane
4:Anakaa kimya hata heri ya Noeli sijapata
5:Ananijibu jeuri,ana niambia nina boa
Je nieendelee kuamini kuwa ananipenda
nb mimi ni mwanaume
Out of pointID yako tu imeshaonyesha kuwa Wewe ni Goigoi na hujiamini sasa unataka tuchangie nini tena Mkuu? Muwe mnaangalia na ID mnazosajili nazo humu kwani zinaweza kuwa na madhara Kimantiki kwa ama baadhi ya threads zako au posts zako. Kwanza waombe radhi haraka Maaskari wote kwa kukiri kwako kabisa kuwa Wewe ni Muoga. Hivi kuna Askari aliyefunzwa kabisa na akawa muoga kama ulivyowadhalilisha Wewe hapo katika ID yako?