Je ataweza kuningojea??Najiuliza Sana.

Je ataweza kuningojea??Najiuliza Sana.

Mr. Wise

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2012
Posts
7,733
Reaction score
6,469
Wakuu,
Niko abroad nimekuja kufanya masters ya miaka mi2,nimemuacha my sweet girl wangu Tz na ana umri wa miaka 26 now!anajitegemea anafanya kazi na nimemuacha anaishi peke yake,kabla sijaja huku tulitamani sana tufunge ndoa ila ilishindikana,kila mara alitamani mtoto maana tulipokua tukiwa pamoja alikua anasema anatamani awe na mtoto kipindi hiki cha umri huu yaani 26yrs,mi pia nilitamani nimuache na ujauzito ila sikumuacha nao. Kwasasa huwa tunawasiliana kwenye simu,Ila tatizo sasa mi nina wivu nahisi kama ndani ya hii miaka miwili anaweza kunisaliti hata mara moja,kuna wakati nikimpigia simu akiwa hapokei nahisi kama yupo na mtu huko. Plizzzz maoni yenu,Can she wait till am back??au na mi nihesabie kama sina kitu nikirudi nianze kutafuta upya?Bcoz I feel like doing that now.
Thanks.....hope to hear from You guys.
 
Kwa nini haukumuoa kabla haujaondoka? Kama shule ilikuwa priority usijute. Hata akiwahiwa utapata mwingine. Kata masters hiyo na uwe macho kuangalia phd scholarships uunganishe kabisa. Wewe mwenyewe nna wasiwasi hautaweza kumngojea!
 
I have biggest experience about long distance relation!! Kikubwa ni kimoja lazima wote muwe na Wazo moja KUSUBILIA no matter wat!! Uvumilivu haswa!! Na upendo wa ndani kbs! Yaani wote muwe na nia moja na kujua kua mapenzi ni kwa ajili ya moyo na sio mwili!! Hivyo vyote vinaenda na very close communication!! Ikibidi every hour!! Na kwakuanza wote wawili nunueni smart fone! iPhone 4 zinafaa zaidi! Kisha download what's app, viber, Skype na Tango hizo zitawaonyesha wote mlipo na kitu gani mnafanya kwa wakati live video! Location picture and text pia free call kutoka kwa viber na tango!! Huo ndio msaada wangu kwako! Kingine punguza wivu na muamini Lkn Kama Ana aminika!! Hata hivo usikae miaka yote miwili bila kurudi kuja kula tunda utamlaumu bure!!
 
kosa ulilo lifanya ni kumuacha bila kichanga....lakini jipe moyo! vinginevyo shule itakushinda...
 
Kwa nini haukumuoa kabla haujaondoka? Kama shule ilikuwa priority usijute. Hata akiwahiwa utapata mwingine. Kata masters hiyo na uwe macho kuangalia phd scholarships uunganishe kabisa. Wewe mwenyewe nna wasiwasi hautaweza kumngojea!

Dah!!naweza niko strong naweza kujilinda till am back,nampenda sana!!sikuweza kumuoa kuna mambo yaliingiliana kabla sijaondoka
 
Kwani yeye amejikatia bima ya kutobadili mawazo? Akipata mdada wa kizulu huko ama wa kidhungu anaolewa yeye pia. Sh*t happens
hii inaitwa kamari
anything is possible
kusubiriwa au kutoswa
au kumegewa huku unasubiriwa lol
 
Ushaur Wangu,tafta Kiburudsho Huko Uliko,vingnevyo Utakufa Na Pressure Cku C Zako!!! Hv Aliko Ana Do Na Mwngne Ndo Utakufa Na Pressure Cku C Zako,km Vp Tafta Kiburudsho Huko Cha Tempo,hapo Ndo Wvu Utapungu
 
Mkuu story yako imenipa majonzi..kuna Dr. mmoja UDSM alikuwa anatufundisha sasa akatupa simulizi kuwa alipokuwa kwenye masomo yake ya masters South Africa wakaja wajanja wakamuopoa mke wake aliyemuacha tz alikuwa hajampa effect e.g mimba..jamaa alirudi na akaanza maisha upya..Naona the same thing kitatokea kwako kama hutokuwa makini!! Amua moja ili upomye moja!!!!!!!
 
miaka 2 siyo mingi kama watu wanafungwa jela miaka 10 wanatoka.

iliwai kunitokea hiyo lakin ndani ya miez 6 mdogo wake uyo bint akaniambia kuna vikao vya harus dada yao anaolewa iliniuma nikazoea.

baadae akaachika akaniomba msamaha niligoma kurudiana naye ikawa mwisho sasa hiv ni rafik tu tunachat.
 
I have biggest experience about long distance relation!! Kikubwa ni kimoja lazima wote muwe na Wazo moja KUSUBILIA no matter wat!! Uvumilivu haswa!! Na upendo wa ndani kbs! Yaani wote muwe na nia moja na kujua kua mapenzi ni kwa ajili ya moyo na sio mwili!! Hivyo vyote vinaenda na very close communication!! Ikibidi every hour!! Na kwakuanza wote wawili nunueni smart fone! iPhone 4 zinafaa zaidi! Kisha download what's app, viber, Skype na Tango hizo zitawaonyesha wote mlipo na kitu gani mnafanya kwa wakati live video! Location picture and text pia free call kutoka kwa viber na tango!! Huo ndio msaada wangu kwako! Kingine punguza wivu na muamini Lkn Kama Ana aminika!! Hata hivo usikae miaka yote miwili bila kurudi kuja kula tunda utamlaumu bure!!

Thanks mkuu!!!nitafanyia kazi ushauri wako....ni kweli ananipenda kupitiliza yaani ilifikia wakati alikua anafanya vitu kwangu ambavyo naamini mwanamke mwingine hawezi fanya,ila mi ndio huwa SIMUAMINI HATA KIDOGO hadi kuna wakati huwa ananishangaa kutomuamini kwangu
 
Back
Top Bottom