Ha ha ha! Umetisha!kuna jamaa yangu flani amemaliza chuo kikuu ni mhasibu wa kampuni flani ya kizungu sasa siku moja bosi mzungu kamuona anahangaika kukusanya mabaki ya chakula baada ya lunch ikabid amuulize kulikoni, jamaa kamuelezea vizuri kwamba ni kwajili ya mbwa wake wakaanza kupiga stori sasa ikafikia kipind jamaa yangu anatakiwa aseme jinsia za mbwa wake (kwa kiingereza) akafikiria kama dakika moja nzima mwishon anapigaje eti boss... I.. have.. three... dogs,,, but one dog is... a....... MAN
Duuuh nimecheka kweli. So kila wilaya itabidi awe na mke
hajawahi tokea raisi mwanamke marekani lakini wanapo kua kwenye acting zao wanakuwepo na waume zao lakini huwa silence kuhusu jina la mume wa rais labda tuangalie reference kwenye hizi movies
King of the king