GT, You better take care of your Nyererephobia!! Upende usipende ,Mwalimu alikuwa kiongozi mwenye maono ya mbali na alikuwa anaongoza nchi kwa kumuogopa mwenyezi Mungu tofauti na wengine waliomfuata ambao imedhihilika kuwa ni mafisadi wao wenyewe na wapambe wao.Kwani Nyerere alikuwa Mungu mtu?