GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,920
- Thread starter
- #41
Chuo kimefungwa ,wewe kama unang'ang'ania kukaa hostel kwa kuogopa kurudi kwenu kuchunga ng'ombe usitusumbue,katafute mtu wa kukubeba mtaani.
UDSM ina hostel nyingi kama haujui kuna Halls 1,2,3....7 pale Campus
Blocks A,B,C,D....E pale mabibo
Hizo ndio hostel kongwe kwa sasa zipo wazi tu.Hata tukisema chuo kifunguliwe leo bado hakutakuwa na uhaba wa vyumba,harafu vijana wa UDSM no talented hata wakisema wafanye karantine ile mabibo hostel nayo vijana wanajua jinsi ya kucheza na hesabu na wakatosha wote Campus.Sasa nakushangaa unavyooji swali la kijinga kama hilo.
Umemaliza au bado?