Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,303
- 4,684
fareed simwelewagi vizuri, ila jmo a.k.a mchopanga anasomeka vya kutosha.!!
simu yangu ni soo
Kuishika mtu sikubali,
Hata niwe na Demu wangu simu yangu ntaiweka mbali.
Na sichelewi kuizima nkaiwasha nikiachana nae, najua ikiwa hewani nitagombana nae
Simu yangu inakuwa Daftari la kuhifadhia mistari, una create Folder kama msg za Siri, wapendao kubip hapa mtaliwa Dola pembeni natumia Beeper chunga ntakutia hasara, sinunui Simu Dukani simu zangu zote mazabe, yenye Ndogo thamani ili machizi wasiibe
Wameiba 6210 Sasa niko na blue 1, wamentoa Finland sasa niko Japan...
Juma Juma Juma ama kwa hakika wewe ni mbarikiwa Alhaj