central midfielder
Senior Member
- Apr 14, 2023
- 132
- 187
Sina shaka na uwezo wa Chid Benz. Kwenye Greatest rappers wangu wa muda wote anachukua namba 5.
Wengi wanasema Collabo yoyote akiwemo Chid Benz hawezi kufunikwa kamwe.(Hapa nakataa kidogo)
1. UKISIKIA PAAH YA JCB,FID,Q,JAY MOE NA CHID BENZ.
Humu Chid Benz alifunikwa vizuri tu na Juma Mchopanga. Jay Moe alifunikwa wote humu..
2. GEEZ MABOVU MIMI FT JAY MOE,FID Q NA CHID BENZ.
Humu alifunikwa tena..Jay Moe alibamiza sana. Na akafunika wote.
3. MCHIZI WANGU REMIX. Kulikuwa na vichwa vingi, Chid Benz pia alifunikwa na nampa tena Heshima Jay Moe. Jay Moe humu alifunika kwa maono yangu..
4. SPEED 120. Alifunikwa na Cowbama.
Zipo Collabo kibao za Hip Hop ambazo Chid Benz kafunika lakini hizo kakimbizwa sana tu.
NAONGOPA??
#forgive me.
Wengi wanasema Collabo yoyote akiwemo Chid Benz hawezi kufunikwa kamwe.(Hapa nakataa kidogo)
1. UKISIKIA PAAH YA JCB,FID,Q,JAY MOE NA CHID BENZ.
Humu Chid Benz alifunikwa vizuri tu na Juma Mchopanga. Jay Moe alifunikwa wote humu..
2. GEEZ MABOVU MIMI FT JAY MOE,FID Q NA CHID BENZ.
Humu alifunikwa tena..Jay Moe alibamiza sana. Na akafunika wote.
3. MCHIZI WANGU REMIX. Kulikuwa na vichwa vingi, Chid Benz pia alifunikwa na nampa tena Heshima Jay Moe. Jay Moe humu alifunika kwa maono yangu..
4. SPEED 120. Alifunikwa na Cowbama.
Zipo Collabo kibao za Hip Hop ambazo Chid Benz kafunika lakini hizo kakimbizwa sana tu.
NAONGOPA??
#forgive me.