nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Jay dee ni jina la kisanii,ingekuwa zimeandikwa Judith Mbibo Wambura angalau,Buy Jay dee is not registerd name so anybody can use with no offence...
Mundele, wakati Mike Jordan alipokua kua Juu katika Kikapu kule USA, alibatizwa jina Mike "AIR" Jordan, wakati huohuo Nike ikaingia mkataba na Chicago Bulls, katika hali isiyotegemewa wakatengeneza Raba zilizoongezwa neno Nike Air, kwa ajili yake, kwa taarifa yako, amekua akila bingo ya mamilioni ya pesa kwa Nike kutumika neno air, na ukumbuke jina hilo ni jina la utani.
futa mawazo ya kutumia majina bandia ya watu , yatokanayo na ubunifu wao, utalipa pesa mingi.
http://en.wikipedia.org/wiki/Michael_Jordan