Mr Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 26, 2016
- 1,670
- 760
na dashi heoraghan damyeon
geudael dashi bol su itdamyeon
geudael dashi bol su itdamyeon
SI unajua mitandao inaingiliwa siku hizi utakuta mtu unaweka kitu kwa nia nzuri tuuu wengine wanazani labda unataka kuaribu mambo yao...ngo maana ata ukiangalia sikuianzia mwanzo nia yangu ilikuwa ni kuwaonjesha watu kisha wafuate wakamalizie kwenye kitabu....Pole jamaa! ungekua hapa Mwanza ungekuja nikupe ofa ya samaki wa kuchoma hapa Vila Park ujipoze
ka sana hicho kitabu bamoja na kila cha kina bwana Tamimu ya kutaka kupindia serikali ya mwalimu miaka ya mwanzoni mwa themaniniHiki kitabu kinaingia lini mtaani? Gazeti la Raia Mwema walikuwa wanarun hii story ila ikafika sehemu wakastop na kusema watu wasubiri kitabu tu
SI unajua mitandao inaingiliwa siku hizi utakuta mtu unaweka kitu kwa nia nzuri tuuu wengine wanazani labda unataka kuaribu mambo yao...ngo maana ata ukiangalia sikuianzia mwanzo nia yangu ilikuwa ni kuwaonjesha watu kisha wafuate wakamalizie kwenye kitabu....
Anatuzuga huyueddy_mhando vipi mbona kimya?
Au na wewe unasoma kwanza kisha ndio utuwekee??
Rusha ivoivooo kama salio inshu ni pm namba nikumegee mpunga.
Sweetheart Tunafanyaje Kupata Ichi Kitabu.Weka vitu mkuu wakusoma
Tunakipataje sasa.....tushirikishe niko tayali kulipia hadi delivery. ...hope buku 2 zinamtosha bodaboda kuniletea home.wadau hiki kitabu kimeshatoka