Jarida la Sani limerudi sokoni

Jarida la Sani limerudi sokoni

Mhandishi mwenyewe kama Ramadhani kwa jina alishafariki
 
Hata kwa Zena sijui kama alikuwa anapata..Uenda zilikuwa show off tu teh

Dah, mkuu hapo umenifumbua macho, hivi inawezekana kweli.

Maana Zena alikuwa anampenda sana Dr, nakumbuka hata chanzo cha ugomvi wake na Betina ilikuwa Dr Love.
 
Dah, mkuu hapo umenifumbua macho, hivi inawezekana kweli.

Maana Zena alikuwa anampenda sana Dr, nakumbuka hata chanzo cha ugomvi wake na Betina ilikuwa Dr Love.
Teh teh..Sina uhakika bro...Sema kwa zile harakati zake tu unakaona haka kajamaa hakajapata mambo mda mrefu
 
Teh teh..Sina uhakika bro...Sema kwa zile harakati zake tu unakaona haka kajamaa hakajapata mambo mda mrefu

Hiyo kweli inawezekana, make kalikuwa kanafatilia mizigo hadi maeneo mabovu sana.
 
Hiyo kweli inawezekana, make kalikuwa kanafatilia mizigo hadi maeneo mabovu sana.
Evelyn salt alinambia kuna moja kalipewa dili ya kwenda kucheza porno..Kakafurahi ile mbaya..Kakajua leo ndo naenda kumaliza ugumu wote na watt wazuri..Kakaulizwa kalipwe sh ngapi..Akasema wala wasijali..ye hata bure atacheza tu..Akachukuliwa mpaka eneo la tukio..Kufika room akakutana na vipande vya watu vyenye miraba minne vinamsubiri...Alitoka nduki ndefu hatari
 
Wakuu kuna watu wanachanganya wahusika wengine na wa sani,wahusika kama BI. MKORA,SUNCHE NA KAPETO hawa wanachorwa na wasanii wasiochorea sani na staili zao za uchoraji ni tofauti na staili za sani muasisi wa michoro hiyo JOHN KADUMA na timu yake.Ipo mada inayohusu KATUNI humu ndani jf,mtaweza kufahamu mengi kuhusu wasanii wa katuni na michango yao kwa jamii.
 
Mimi nilikuwa nachanganyikiwa kuona Madenge eti ni golikipa wa timu ya wakubwa wakati anasoma primary tena kama darasa la tatu tu.

Nilikuwa nachukulia kama issue ni za kweli yaani.
Hahahaaa, acha tu
 
Yote yana mpira......naomba nimsahihishe na mwingine hapa hakukua na Bob Makani/mikwara bali ni Bob Mazishi alikua anavaa miwani na kifia ya "Ojwang'
Hata mie nimesema mwanzo mipira ilikuwa kote, watu tunachanganya
 
Back
Top Bottom