Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,551
- 21,676
Wachoraji nao wajitahidi kuchora kwa uhalisia uliokuwepo
Kwa ushauri tu wangefanya muendelezo wa stori, na hili la sasa likawa ni season nyingine kabisa wakijaribu kuiga ya wakati ule halitakuwa na ubora ladha nyingi zitapotea, kipanya ahusike kwenye michoroHaliwezi kuwa kama lile la enzi hizo
bob mikwarabob makani????????
Sorry for typing errorHv madenge alikuwa gazeti hani;?
mmmhh,mwamba umefeliAsikwambie ile game ya town stars na bush stars mapung'o na Chepe..! Wapi baba ubaya na mzee wa busara.
Lodi lofa, Dr Love Pimbi, Bila kusahau ile UEFA ya Bush stars na Born townwale mapacha mmoja aliitwa sunche na mwingine kapeto.bila kumsahau ndumilakuwili,bob makani,pampula,etc
Mpira balaa..Yale maneno yao ya shombo uwa yananikosha sana....Dr love safari hii wamfanikishe hata mara moja bana...japo aonje utamu wa papuchiHa ha ha harakati za pimbi, jamaa hajawahi kabisa kufanikiwa, nampendaga comred kipepe na rungu lake ni kuwinda vitoweo tu afu nae hatari hawapati lol
Kule kwenye mpira ndo bas kabisa
Ha ha ha akifanikiwa harakati zitakosa mvuto aendelee hivo hivoMpira balaa..Yale maneno yao ya shombo uwa yananikosha sana....Dr love safari hii wamfanikishe hata mara moja bana...japo aonje utamu wa papuchi
Hilo la kipanya hata mm nilifikiri hivyo, ladha ya sani ni katuni bhana, katuni inamvuta mtu kusoma maneno. Lodi lofa. Kipepe, kijana wa totooz pimbi, mtoto wa elimu bureee madenge, hebu tuleteeni huo uhondoKwa ushauri tu wangefanya muendelezo wa stori, na hili la sasa likawa ni season nyingine kabisa wakijaribu kuiga ya wakati ule halitakuwa na ubora ladha nyingi zitapotea, kipanya ahusike kwenye michoro
Mpira balaa..Yale maneno yao ya shombo uwa yananikosha sana....Dr love safari hii wamfanikishe hata mara moja bana...japo aonje utamu wa papuchi
Ha ha ha akifanikiwa harakati zitakosa mvuto aendelee hivo hivo
Lodi lofa, Dr Love Pimbi, Bila kusahau ile UEFA ya Bush stars na Born town
Bush Stars walikuwa na Mzee Meko, nadhani timu nzima ndo alikuwa anavaa shati, kuna kipindi alipataga timu South Afrika, sina uhakika kama aling'ara kama huku Bongo. Jamaa alikuwa mkali balaa.
Kulikuwa na jamaa mmoja mbabe Bush Stars anaitwa Hui Hui, sijui yuko wapi siku hizi.
Umemsahau na kabelo
Golden boy mapung'o wa bush starsHa ha ha, timu ilikuwa imesheheni.
Huku Born Town matozi kibao, kipa wao Rasta, kuna kina Ndumilakuwili, Lodi Lofa, Pimbi.
Hivi Sokomoko alikuwa Town au Bush?
Hata kwa Zena sijui kama alikuwa anapata..Uenda zilikuwa show off tu tehGoma lake ilikuwa Zena, ila michepuko ndo ilikuwa inamzingua.
Kwa Zena alikuwa anapata mambo.