Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,781
- 6,138
Ladha ni ileile au ndo limerudi jina?
Mkuu wewe ni mdau kwenye hilo jarida,? Namaanisha ni moja ya waandaaji wa hilo jaridaLadha ni ileile.
Bush stars mapung'o alikuwa km messi
Duuuh teh teh teh kweli bwana!!!Umechanganya timu mkuu, Mapung'o alikuwa wa kwenye gazeti la Bongo.
Kaboka mchizi, mzee wa songombingo ni product ya msanii Abdul Kingo. iko gazeti la nipashe
Aisee umenikumbusha mbali sna enzi zile nachukua penseli,peni na karatasi kuvichora hivo vikaragosiNadhani limerudi jina ila Ladha sio ile kabisa, kumbuka watunzi wengi wa Vichekesho vya Sani walikwisha tangulia...View attachment 317966View attachment 317967