Dkt Guston
Senior Member
- Feb 28, 2022
- 105
- 110
Habari wana JF
Naomba kwa mtu ambaye ameshapata visa ya Marekani anipatie maelezo kidogo ya jinsi alivyofanikisha kupata visa hio? Leo nmekosa visa na nimeshatumia gharama tayari zimeenda bure, nimeambiwa nijipange niombe upya.
Naombeni mrejesho kwa wale waliofanikisha kupata visa ya Marekani
Naomba kwa mtu ambaye ameshapata visa ya Marekani anipatie maelezo kidogo ya jinsi alivyofanikisha kupata visa hio? Leo nmekosa visa na nimeshatumia gharama tayari zimeenda bure, nimeambiwa nijipange niombe upya.
Naombeni mrejesho kwa wale waliofanikisha kupata visa ya Marekani