Nilijua tu kuwa mada haiwezi kuisha bila kumshobokea kikwete. Hivi kina majaliwa hawakuwepo katika serikali ya kikwete? Mbona mnakuwa mamburura namna hiyo nyie?!!Hiyo ridiculous argument kwamba Waziri hawajibiki kwa masuala ya umeme aliisema January Makamba siku ya kwanza alipoenda TANESCO, eti yeye hataki kuitwa kwenye kero za umeme, wamalize shida za wananchi wenyewe.
Vice President Mpango kakataa huo upuuzi. Juzi kamtumia ujumbe mkali, kaagiza Waziri aende Kigoma immediately kushughulikia matatizo ya umeme.
Makamba anamdharau sana Samia Suluhu, anajiona so high and mighty kushuka kushughulikia matatizo ya wananchi. Waziri wa NIshati unataka kujitoa kwenye majukumu na lawama za umeme, una wazimu ?
January Makamba is not up to the job. Amerudishwa kwenye cabinet kwa sababu ni mjumbe wa duara la ndani la Jakaya KIkwete.