Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Hakuna jipya, ****** tu. Hana lolote la maana katika hoja yake, kaikopi ile ya Texas...
hi haterrrrr
Hakuna jipya, ****** tu. Hana lolote la maana katika hoja yake, kaikopi ile ya Texas...
Binafsi sio mungaji mkono wa *******,lakini pia ni mpinzani mkubwa sana wa siasa za kishabiki!Napenda sana kwa moyo mweupe kabisa nimpongeze January Makamba mbunge wa bumbuli kwa hoja yakebinafsi ya kuitaka serikari itunge sheria ya kuwadhibiti wenye nyumba ili wasiwe wanapandisha bei za kupanga kiholela na pia kuwadhibiti wenye nyumba hao kuwalazimisha wapangaji kulipa kodi za muda mrefu.
Kiukweli hili ni eneo muhimu sana kwa sababu linahusisha watanzania wengi na linahusisha makazi kitu ambacho ni muhimu sana na cha msingi sana kwa Watanzania, nawapongeza pia kambi ya upinzani kwa kuunga mkono hoja hiyo kwani wamedhirisha kuwa hawapo kichama bali kimaslahi ya Watanzania walio wengi,hawakuangalia ni chama gani kimetoa hoja bali hoja yenyewe,Hongereni sana!
Jukumu ni la serikali kuharakisha kuandaa sera itakayo wezesha sheria kutungwa!BRAVO JANUARY!
Lakini si mbaya kukopi kitu kizuri!!! Kwani hakuna jipya chini ya jua...Hakuna jipya, ****** tu. Hana lolote la maana katika hoja yake, kaikopi ile ya Texas...
Mh.January Makamba yupo ktk kipindi cha Jahazi-clouds Fm,akizungumzia sheria ya Pango na haki za mpangaji na mwenye nyumba!...zaidi tune Clouds fm upate habari!Jamaa kajipanga sana kwa hoja na haki za wapangaji!