Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
Anaongea point nzuri. TZ ni moja ya nchi chache sana duniani ambayo haina sheria ya mortgage.Inaleta wizi sana kujenga nyumba kwa pesa taslimu. Pia wananchi wanachukua muda sana kumaliza ujenzi wa makazi yao, wakipata mikopo, riba ni kubwa sana na wanatakiwa kulipa kwa muda mchache sana.Lakini ukimsikiliza kwa makini bado ni walewale CCM kama anavyosemaga MWANAKIJIJI, eti ansema "nasubiri waziri alete muswada bungeni", hajui kazi yake ni nini.