January Makamba: Gridi Nzima ya Taifa kufumuliwa kwa Trilioni 1

Mh Makamba ikiwa utaweza sign huwo mradi ukiwa umekikalia Iko kiti basi tarajia jambo gumu mbeleni litakalo kuondoa kwenye siasa za Taifa hili maana hata sasa umesha wezwa. End
Kwani Kuna mtu Huwa anadumu kwenye siasa miaka na miaka? Mradi utasainiwa next month stay tuned Broo Wala usiogope.
 
Mheshimiwa Waziri ni matukio mangapi ya kukatika kwa umemem yamesababishwa na waya za Grid ya taifa?matatizo mengi na nyie wenyewe mlisema ni upande wa usambazaji ambapo mlikuwa mnafanya jitihada za kuweka waya mpya...uharaka gani wa kuingiza Tanesco katika mradi mkubwa wa kubadilisha waya zote hata zile ambazo bado zipo zinatumika bila tatizo?watu wakihisi hii miradi inapigiwa Chapuo kwa sababu ina 10% mnaweza kupingaje?
 
Umeshaambiwa miundombinu ni chakavu Kwa mda mrefu,utafumuaje inagojengwa Sasa hivi? Kwani wanaweka vifaa vya zamani?
Naomba nikiri mapema kuwa sijasoma mtiririko wa mabandiko wa uzi huu.

Sunked' Kuna kitu hakiniingii akilini.
Ni hivi, Mh. Makamba ameona umuhimu wa hili suala la kuboresha gridi sasa hivi?

Na kama sio sasa hivi, Je ni mpango uliokuwa umeasisiwa ndani ya Ilani ya CCM-kwani ninavyoamini, Ilani ya CCM ndio ina Dira ya kijumla ya Mtanzania-au ni mpango uliokuja baada ya kufanya tathmini ya mikorogo yao kwenye Gridi hiyo?

Vilevile, kama hayo juu yalijulikana mapema-Je, ni yale ambayo aliomba yaidhinishwe kwenye bajeti ya Matumizi na Maendeleo ya Wizara yake?

Au kuna mchongo hapa?

wako wakutifuana....
Mie huyo.
 
Naomba nikiri mapema kuwa sijasoma mtiririko wa mabandiko wa uzi huu.

Sunked' Kuna kitu hakiniingii akilini.
Ni hivi, Mh. Makamba ameona umuhimu wa hili suala la kuboresha gridi sasa hivi?

Na kama sio sasa hivi, Je ni mpango uliokuwa umeasisiwa ndani ya Ilani ya CCM-kwani ninavyoamini, Ilani ya CCM ndio ina Dira ya kijumla ya Mtanzania-au ni mpango uliokuja baada ya kufanya tathmini ya mikorogo yao kwenye Gridi hiyo?

Vilevile, kama hayo juu yalijulikana mapema-Je, ni yale ambayo aliomba yaidhinishwe kwenye bajeti ya Matumizi na Maendeleo ya Wizara yake?

Au kuna mchongo hapa?

wako wakutifuana....
Mie huyo.
Muwe mnapenda kufuatilia taarifa za Tanesco na Wizara..

Toka day one alivyoingia aliulizwa why umeme unakatika katika,akasema mahitaji ya umeme yamekuwa makubwa,mifumo ya usambazaji ni chakavu na inahitajika kufanyiwa overhaul .

Tanesco wakasema wanahitaji Til.4 Kuimaliza shida hiyo Kwa miaka 3 na ndio hivi Sasa wameanza na Til.1
 
Habari ndugu!

Waziri wa Nishati na Madini January Makamba amesema Serikali unatarajia kuanza mradi mkubwa wa kusuka na kufumua Gridi ya Taifa.

Mradi huo utakaojulikana kama Gridi Imara unatarajia kutumia shilingi Tilioni Moja na unatarajia kusainiwa February 15,2023 Ukiwa na lengo la kukomesha kukatika katika Kwa Umeme Nchini.

My Take,ngoja tuone kama kero ya kukatika katika Kwa umeme itaisha.👇


Ndio ujanja waliyokua wanatuambia na kumuita jpm mshamba. Hata marekani iliyokua huru miaka zaidi ya 200 hawajawahi kua na mradi wa kufumua grid nzima kwa muda mfupi. Tr 11 sio hela ndogo wana mpango kukorombeza hela hawa kwa mpango wa cha juu na kutoa kandarasi. Grid ya taifa hadi sasa kuna sehemu inajengwa, sehemu zingine sio za zamani kujengwa. Vizuri na kwa tija ni ukaguzi na kurekebishwa sehemu zenye ubovu. Sio huu wazimu eti kufumua grid yote. Kwanza italetea wananchi shida wakati wa matengenezo ya muda mrefu na nchi wala haitaona faida la kuongezeka umeme nchini.
Huyu januari na maharage na genge lao wadhibitiwe wanataka kufanya upigaji wa kufa mtu.
 
Ndio ujanja waliyokua wanatuambia na kumuita jpm mshamba. Hata marekani iliyokua huru miaka zaidi ya 200 hawajawahi kua na mradi wa kufumua grid nzima. Tr 11 sio hela ndogo wana mpango kukorombeza hela hawa kwa mpango wa cha juu na kutoa kandarasi. Grid ya taifa hadi sasa kuna sehemu inajengwa, sehemu zingine sio za zamani kujengwa. Vizuri na kwa tija ni ukaguzi na kurekebishwa sehemu zenye ubovu. Sio huu wazimu eti kufumua grid yote. Kwanza italetea wananchi shida wakati wa matengenezo ya muda mrefu na nchi wala haitaona faida la kuongezeka umeme nchini.
Huyu januari maharage na genge lao wadhibitiwe wanataka kufanya upigaji wa kufa mtu.
Acha ujinga,hiyo takataka Yako ya jpm usiitaje mbele yangu Huwa namchukulia ni failure tuu kama alivyoiba PhD
 
Yaani tunafumua miundombinu tuliyojenga toka uhuru kwa trilioni moja??
 
Daaah sasa tumechoka na sababu zao ,umeme ukiolsekana utasikia vyanzo vya maji vimepungua, maji yakiongezeka ndio tunasikia kufumua grid na grid ikikamilika tunarudi tena kupungua kwa maji kutokana na tope kujaa kwenye mabwawa .
Yaani tumechoka sasa sijui ni lini hivi vyote vikawa stable

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
 
Muwe mnapenda kufuatilia taarifa za Tanesco na Wizara..

Toka day one alivyoingia aliulizwa why umeme unakatika katika,akasema mahitaji ya umeme yamekuwa makubwa,mifumo ya usambazaji ni chakavu na inahitajika kufanyiwa overhaul .

Tanesco wakasema wanahitaji Til.4 Kuimaliza shida hiyo Kwa miaka 3 na ndio hivi Sasa wameanza na Til.1
Wewe ndio mfwatiliaji, na ndio maana nimekuuliza wewe mjuvi, hasira za nini? Kha!

Eniweyi

Sawa umeondoa hilo....la kuwa hakuanza leo na suala zima la Gridi/na Uhitaji wa ukarabati....Je Kuhusu Bajeti? Hizo trillioni ziliombwa kwenye bajeti....manake kwa majibu yako umemjibia kana kwamba aliyajua hayo kitambo! Again aliomba hizo Trilioni kwenye Bajeti ya Wizara kama mtiririko wa uboreshaji wa miundo mbinu?
 
Mheshimiwa Waziri ni matukio mangapi ya kukatika kwa umemem yamesababishwa na waya za Grid ya taifa?matatizo mengi na nyie wenyewe mlisema ni upande wa usambazaji ambapo mlikuwa mnafanya jitihada za kuweka waya mpya...uharaka gani wa kuingiza Tanesco katika mradi mkubwa wa kubadilisha waya zote hata zile ambazo bado zipo zinatumika bila tatizo?watu wakihisi hii miradi inapigiwa Chapuo kwa sababu ina 10% mnaweza kupingaje?
Kinachobadilishwa sio waya pekee
 
Wewe ndio mfwatiliaji, na ndio maana nimekuuliza wewe mjuvi, hasira za nini? Kha!

Eniweyi

Sawa umeondoa hilo....la kuwa hakuanza leo na suala zima la Gridi/na Uhitaji wa ukarabati....Je Kuhusu Bajeti? Hizo trillioni ziliombwa kwenye bajeti....manake kwa majibu yako umemjibia kana kwamba aliyajua hayo kitambo! Again aliomba hizo Trilioni kwenye Bajeti ya Wizara kama mtiririko wa uboreshaji wa miundo mbinu?
Kwenye Bajeti ya awali walipewa Bil.500 so inawezekana wakapewa idhini ya kutumia Til.1
 
January Makamba
Nape Nnauye
Hussein Bashe


Hapa Samia aliingia choo cha kike kabisa! Na vile kila siku wanamsifia kwamba anaupiga mwingi! Basi kwisha kabisa habari yake!
Sijui kwanini Bashe mnamuweka kwenye hili kundi
 
Back
Top Bottom