ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,005
- 50,733
- Thread starter
- #21
Alikuwa mjinga,huwezi haribu uchumi sekta zingine Kwa visingizio vya kipuuziNyie mnapenda maisha ya siasa mkuu, maisha kama haya.. JPM hakuwa mtu wa hivyo
Swali Mbona Sasa hivi Kila sekta Kuna pesa tena zimeongezeka mara 2,zometoka wapi? Mfano Watoto wa vyuo Vikuu wote wamepata mkopo yule mtu wenu alishindwa 🤣🤣