Uchaguzi 2020 January Makamba asema hana uhakika kama atagombea Ubunge 2020

Huyu anataka apate uhakika kama atapita kwenye maoni + uchaguzi wenyewe ndio agombee,he us weighing up things.
 
Nyie pangeni hivi na ALLAH atapanga vile,ni kwa nini huwa hampendi kumtanguliza Muumba wa nchi na mbingu mbele...???
Ni kwa nini huwa munajiona (binadamu) nyiye ndiyo alfa na omega...???
Kwa unyenyekevu niwaombe muwe munasema "panapo majaaliwa yake Mwenyezimungu nita......" au museme "Inshaallah......
 
Tatizo la January hakuwa anajisimamia mwenyewe kwenye siasa. Tangu anaanza siasa alikuwa anabebwa. Baada ya aliyekuwa anambeba kuondoka mkashindwa kabisa kujisimamia. Alifikiri ataendelea kubebwa. Mwishowe siasa zimemshinda.
 
January anataka kupata wasaa wa kujiandaa na kugombea urais 2025
Mshauri wake anamchuuza
 
Hizi Kick za Wanasiasa achana nao kabisa, Hiyo Desemba atakuja na Ngonjela ooooohhhh Wazeee wa Bumbuli wamenifuata na kunisihi saaaana niendeleee na Kijiti cha Kusogeza mbele maendeleo ya Jimbo letu pendwa la Bumbuli hivyo sina budi kuendelea. Time will Tell
Yaani haya haya maneno yako umemsaidia atayatumia
 
Mbunge wa Bumbuli, January Makamba amesema kwa sasa bado hana uhakika kama atagombea tena ubunge katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2020.

Makamba ametoa kauli hiyo kupitia ukurasa wake wa Twitter ambapo amesema atafanya uamuzi Desemba mwaka huu atakapokuwa mapumzikoni.

“Sina uhakika juu ya hili, sina hakika kama nitahitaji tena kugombea ubunge mwakani. Nitafanya maamuzi sahihi nikiwa mapumzikoni Desemba mwaka huu,” ameandika Makamba.

Makamba amewahi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Muungano, kabla Rais Dk. John Magufuli hajatengua uteuzi huo mapema mwaka huu!

Pia amewahi kugombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2015, lakini alibwagwa kwenye kura za maoni ambapo chama chake kilimteua aliyekuwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli.

Chanzo: Mtanzania
...atagombe urais instead kwani anaungwa mkono na CCM asilia.
dogo yupo kimkakati zaidi... wakolomije wanalo 2020!!
 
Mbona kichwa Cha habari hakiendani na habari yenyewe?
Mimi niliuliza swali tu mkuu , lakini Moderator ame edit kuanzia kichwa cha habari mpaka maudhui , labda wamempigia January na ameconfirm , nasema labda maana kiukweli mimi niliuliza tu .

Waliouona uzi huu kabla haujaeditiwa ni mashahidi
 
Grammar check.
"It" then "were", and at the sometime "it" stands for human.


  • If I were you, I would try to find a new job.
  • If she were here, she would explain the situation.
The second group of sentences refers to a situation that was always true in the past. In this case, the past simple is used.

If I were is used to express an imaginary situation in the present.

  • If I were you, I would take a vacation.
  • I would give the test again if I were the teacher.
If I was is used to express something that was true when or if something else happened:

  • If I was late for class, I got into trouble.
  • I had to do extra homework, If I was absent.
 
ni bora asigombee ili ajitunzie heshima yake kwa umma , maana anaweza kuchukua form kisha wakamkata makusudi dakika za mwisho kabisa ili kum-frustrate... CCM hii wanayoita eti ni mpya ina mambo ya kulipiziana lipiziana na kishamba kishamba saana.

Lakini sisi wajuvi wa mambo ya siasa tunajua Makamba anaweza kuwa Mwanasiasa mahiri mno na hata kuwa Rais mzuri sana mtarajiwa wa nchi lakini si kwa kupitia CCM.
 
Back
Top Bottom