uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,265
- 9,392
Balozi wa Tanzania uingereza ila wakuu mbona hizi taarifa huwa ziko wazi sanaNdiyo Asha Rose Migiro sijui yuko wapi tena. Yaani hakupewa hata chochote. Kazi kweli siasa hizi.
Balozi wa Tanzania uingereza ila wakuu mbona hizi taarifa huwa ziko wazi sanaNdiyo Asha Rose Migiro sijui yuko wapi tena. Yaani hakupewa hata chochote. Kazi kweli siasa hizi.
Hv January amechukua na kurudisha form iliyojazwa kwa usahihi kweli?Makamba nape ridhi moko chenge na mwakiembe dodo na wale wakongwe wote ni out wote yaani kwa kifupi wabunge karibuni wote waliokuwa wa jk ni wachache sana wataula
Tatu Bora magu na wamama wawiliTatu Bora ya CCM ni Magufuli,Mama Samia na Makamba
Tano Bora nadhani Ni Migiro na Membe
Anaemuharibia ni baba yake watamnyima ulaji kwa kumkomoa kwa sababu ya babaMakamba ni miongoni mwa vipaji vichache vinavyovizwa na kuuliwa na mtu mmoja fulani. Eeh Mingu linusuru taifa hili.
Yale ya Burundi na yatimie hapa Tanzania.
Dr. Migiro ni balozi wa UKNdiyo Asha Rose Migiro sijui yuko wapi tena. Yaani hakupewa hata chochote. Kazi kweli siasa hizi.
Kapewa ubalozi nazan ukNdiyo Asha Rose Migiro sijui yuko wapi tena. Yaani hakupewa hata chochote. Kazi kweli siasa hizi.
Urais wa familia yake labda
Kwa kweli binafsi sijaona wala kusikiaHv January amechukua na kurudisha form iliyojazwa kwa usahihi kweli?
Tatu Bora ya CCM ni Magufuli,Mama Samia na Makamba
Tano Bora nadhani Ni Migiro na Membe
Duuu yuko kimya mno hata sikufahamu kabisa. Nadhani wengi hatujui kama alipata shavu. She is humble, very humble.Kapewa ubalozi nazan uk
Asante Mkuu sikuwa aware kabisa. She deservesDr. Migiro ni balozi wa UK
Mkuu. Wengine naona hatufuatilii sana hasa kipindi hiki kila siku wanabadilishwa viongozi. Kama sasa hivi majina ya mawaziri awamu iliyopita na makatibu Wakuu ni ngumu kuwakariri maana ukikariri kesho anatolewa na kesho tena na kesho kutwa, na mtondo na mtondogoo. Sasa kichwa kukariri haya ni ngumu Mkuu.Balozi wa Tanzania uingereza ila wakuu mbona hizi taarifa huwa ziko wazi sana