Janja mpya itakayotumiwa na wauza mafuta

Niko Mwenge, usafiri ni washida sana, magari hamna, wengi wa madereva wameenda kupaki wanasema hamna mafuta. Sijui kesho tutaendaje job
 
Kwa kawaida during week-ends & holidays magari ya mafuta yanasafiri mengi zaidi kwenda mikoani (kwa uzoefu wangu wa moro road). Nakuhakikishia leo hakuna gari yenye mafuta inayopita!
 
ule muda wa kuchukua sheria mkononi umewadia! si siku nyingi uvumilivu utawashinda wenye magari na tutaanza kuskia kituo baada ya kituo kikichomwa moto!
 
Kwa kawaida during week-ends & holidays magari ya mafuta yanasafiri mengi zaidi kwenda mikoani (kwa uzoefu wangu wa moro road). Nakuhakikishia leo hakuna gari yenye mafuta inayopita!

Ok,
But leo nimeshinda Kurasini ambako ndipo depot nyingi zilipo, hakuna hata moja iliyofungua.
Nakubaliana na wewe kwamba hali ni mbaya, but may be kesho inaweza kutengemaa.
Nachojua Petrol kwa kesho itapatikana (niamini), ni uhaba tu wa long wikiend na sio mgomo,
Diesel ndio bado kizungumkuti, kwani ndio iliyoshushwa bei
 
Waache wajidanganye Peoples Power inakuja wataisoma number hata kwenye mteremko
 
MY TAKE:
kwa namna yoyote hakikisha una mafuta mengi sana, kwani hawa wahindi na waarabu nia yao ni kutuangamiza.

Mkuu mimi nadhani unalaumu ambako siko, laumu serikali yako in one way or another wamesababishi hii issue, mara nyingi kupanga bei hakushushi bei njia nzuri na wenyewe serikali wajiingize kwenye hii biashara na kuuza bei ya chini kama wanaweza in so doing bei itashuka
 
Jamani serikali itangaze kwamba hili ni janga la kitaifa, isione aibu.
 
Kwanini ungoje wahindi na waarabu waagize, kwa nini usiagize wewe mwenyewe? Unanshangaza!
<br />
<br />

Hovyoo...umesikia mafuta ni sawa na nyanya toka iringa, unajiagizia tuu....??!!...magamba bwana ishue ngumu majibu urojoo.
 
ule muda wa kuchukua sheria mkononi umewadia! si siku nyingi uvumilivu utawashinda wenye magari na tutaanza kuskia kituo baada ya kituo kikichomwa moto.

Hiki ndicho kitatokea kama si leo ni kesho nimekaa Buguruni masaa 7 na kuishia kuuziwa lita 10 tu. Hapa hakuna cha magamba wala Mangozi JAMANI TUINGIE BARABARANI LEO NCHI NI YETU HII.
 
Mkuu mimi nadhani unalaumu ambako siko, laumu serikali yako in one way or another wamesababishi hii issue, mara nyingi kupanga bei hakushushi bei njia nzuri na wenyewe serikali wajiingize kwenye hii biashara na kuuza bei ya chini kama wanaweza in so doing bei itashuka
<br />
<br />
BP inamilikiwa na serikali kwa 50% na cha ajabu hata hao BP wamegoma kuuza mafuta.
Kweli mamilimo galiho
 
Kwanini ungoje wahindi na waarabu waagize, kwa nini usiagize wewe mwenyewe? Unanshangaza!

Tuna matatizo ya 'kuabudu' watu weupe hata watuelekeze pumba tunachekacheka tu na kuwafuata awe mhindi, mwarabu au mzungu. Hii haikuanaza leo ndio maana tumeua TIPPER na kuibana mbavu TPDC. Ni aibu kwa Taifa tunapenda kufanyiwa tu na tukifanya vitu wenyewe ni by crisis. Labda viongozi wetu wabadilike.
 
sijui kama waliochukua huo uamuzi wa kupunguza bei kwa lazima wanafahamu kanuni za uchumi.....bei ikishapanda kuna mambo kadhaa tu yanawezakufanyika kama baadhi ya haya hapa; either bei ibaki pale pale ilipofikia (2100...) au iongezeke na sio ishuke. au kama itashuka basi ni pale unapokuwa na stable economy na ambapo soko ndio lita-determine kushuka kwa bei kutokana na demand kuwa ndogo, na sio katika mazingira kama ya sasa.

I tell kitakochikuja kutokea ni kwamba bei ya mafuta itafika 2500-3000 kama hakutakua na measures mahususi zitazokochukuliwa, lakini wakati huohuo nashangaa kisha nafurahi sana kumuona Kiranja mkuu akila kuku kila siku pale ikulu kwa kisingizio cha "kufutarisha'....
 
Hatuna serrikali hapa! ukiona waziri anaenda kukopa ili anusuru budget wakati makaburu wanavuna madini kwa ulaini na kutuachia mashimo!

Serikali imewekwa mfukoni na hawa wauza mafuta! maana wao ndio waliotoa fadha ili chama cha magamba kirudi madarakani!
Lakini wakumbuke kwamba THE WIND OF CHANGE IS SWEEPING ACROSS
 
Ni kheri sasa kila mtu awe na jukumu la kuagiza mafuta yake toka nje kama vile tunavyo nunua bidhaa nyingine.
 
Nasikitika kuona vurugu zinaibuka Tanzania, maana magazeti ya leo yote yameripoti hali mbaya Mbeya na kwengineko..............CCM go to hell with your.......................................................
 
Back
Top Bottom