<br />Kwanini ungoje wahindi na waarabu waagize, kwa nini usiagize wewe mwenyewe? Unanshangaza!
....Itakuwa umeolewa na mhindi au mwarabu.Kwanini ungoje wahindi na waarabu waagize, kwa nini usiagize wewe mwenyewe? Unanshangaza!
Kwanini ungoje wahindi na waarabu waagize, kwa nini usiagize wewe mwenyewe? Unanshangaza!
Tumeyataka sie wenyewe hawo Wahindi au Waarabu si makosa yao ni mimi na wewe ndio wenye makosa kwa nini usijiulize TPDC na TIPPER ziko wapi?
Hawo waliopewa kazi za kuendeleza mashirika ya umma hayo wamefanya nini? zaidi ya kuyauwa?
....tusiwe na nidhamu tu ya kulaumu watu na kutafuta wanyonge wakati makosa ni yetu kuweka serikali LEGELEGE madarakani.
Serikali imelikoroga, meli zenye shehena ya mafuta zimeondoka bandarini na shehena ya mafuta na kuelekea nchi nyingine. Kuanzia leo kama ulipanga kusafiri, bora uhairishe safari yako, wakazi wa jiji jitayarisheni kwa gwaride mitaani mkienda makazini. Hali ni mbaya sana.
| |||||||||||||||||||
<br />Tunayataka wenyewe tunalalamika sana kwenye keybords zetu na hakuna cha maana atunchofanya utadhani tumelishwa limbwata ya kisiasa!! Kwanza natamani waendelee na mgomo kabisa na umeme uishe kabisa na wasafirishaji wote nao wagome na vyakula vipande bei ndipo tutapata akili ya kujua,
maana ya kudai haki
<br />Kwanini ungoje wahindi na waarabu waagize, kwa nini usiagize wewe mwenyewe? Unanshangaza!
Mkuu, kwani hamna waswahili wa kuuza mafuta au nani kawakataza kuuza mafuta!wauza mafuta wamepanga yafuatayo:
1. Stock yao ya kituoni ikiisha, hatanunua tena mafuta kutoka depot.
2. Depot wakimaliza stock hawata IMPORT hadi serikali ikubali kupandisha bei ya mafuta kwani wao wanadai running cost zimekuwa juu kutokana na wao kutumia umeme wa jenereta kipindi hiki cha mgao.
MY TAKE:
kwa namna yoyote hakikisha una mafuta mengi sana, kwani hawa wahindi na waarabu nia yao ni kutuangamiza.
Tunayataka wenyewe tunalalamika sana kwenye keybords zetu na hakuna cha maana tunchofanya utadhani tumelishwa limbwata ya kisiasa!! Kwanza natamani waendelee na mgomo kabisa na umeme uishe kabisa na wasafirishaji wote nao wagome na vyakula vipande bei ndipo tutapata akili ya kujua maana ya kudai haki
wauza mafuta wamepanga yafuatayo:
1. Stock yao ya kituoni ikiisha, hatanunua tena mafuta kutoka depot.
2. Depot wakimaliza stock hawata IMPORT hadi serikali ikubali kupandisha bei ya mafuta kwani wao wanadai running cost zimekuwa juu kutokana na wao kutumia umeme wa jenereta kipindi hiki cha mgao.
MY TAKE:
kwa namna yoyote hakikisha una mafuta mengi sana, kwani hawa wahindi na waarabu nia yao ni kutuangamiza.
Uchunguzi wako umezingatia ukweli kwamba leo ni public holiday?Wakuu, kuna ukweli katika habari hii, nimeangalia kwa muda wa kutosha jioni hii 'flow' ya magari kutoka mjini kwenda mikoani kwa kutumia barabara ya Morogoro, sijaona gari lolote (fuel tanker) linalopita kupeleka mafuta mikoani. So the issue is serious!
upatikanaji wa nishati ya mafuta kuanzia kesho J