Janga la kitaifa: Wanawake wengi hawafiki

Tuko

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
11,178
7,319
Kauchunguzi kasiko rasmi nilikofanya kwa kujadiliana na wadada kadhaa ama directly au indirectly, nimegundua kuwa wengi wanapofanya mapenzi hawafiki kileleni. Pamoja na sababu chache za kiafya, lakini nimegungua kuwa tatizo kubwa ni kwao wenyewe, hasa wengi wanakuwa wanajijengea stress wakati wa ngono. Hali hii imewafanya wanawake wengi, hasa wanaoanza mapenzi kukosa ladha na wengine kutokuona umuhimu wa kufanya ila kwa kumridhisha mwanaume.

Lakini, kauchunguzi kangu kamenionyesha kuwa tatizo la wanawake kutokufika kileleni lipo sana kwa ndoa changa au mahusiano machanga. Inaoenelana kuwa, wakati mwanaume anaweza kupata full utamu kwa mwanamke ambaye wamekutana hata kwa mara ya kwanza, kwa wanawake wengi ni tofauti (najaribu kutafuta sababu za kisayansi). Wanawake wengi hufikishwa kileleni na wanaume waliowazoea, na ambao wameshafanya nao mapenzi mara kadhaa.

Hali hii ndiyo inayosababisha kwa wanawake wengi wanapoolewa, au wanapopata wapenzi wapya, wanashawishika kirahisi na wapenzi wao wa zamani, wakidhani kuwa walikuwa na maujuzi zaidi. Pia inasababisha baadhi ya wanawake hawatulii na mwanaume mmoja wakitafuta wa kuwafikisha, kwa kudhani kuwa umbile au saizi ya u.ume ina matter, au haiba au kitu kingine.

Wadau wa malavidavi mpooooooo?
 
Eehh tena mie nikimpata mpya ndo nafika mapemaaa sasa sijui hao wanaochelewa au kutofika kabisa nashangaa
 
asee our comment zmegota pa1 at same tm and same feelings@michelle
yaezekana miguno io ndio j...........u usika lenyewe.
 
Huo uchunguzi umeufanyia nchi gani?, mkoa gani?. Kwa tanzania wanawake wa dar ndo hodari kwa kutofika kileleni: but why? , baba ana amka saa 10.30 kwenda job, anarudi saa 4, ana lala saa 6, muda wa game ni saa 6 mpaka 7 ili baba awahi kuamka saa 10.30. Soo no time for prepation, rest and so on..................................
 
Ili mwanamke aweze kufika kileleni lazima awe ameandaliwa kisaikolojia kabla ya kufanya hilo tendo. Mwanaume ndiye mwenye wajibu wa kumuandaa mwanamke huyo, anawajibu wa kumhakikishia kuwa anachokitegemea ndani ya hayo mahusiano ni kweli na bayana ili asiwe na hofu kuwa unamdanganya au unamtumia then baada ya hapo wewe unashika ustarabu wako. Kumbuka kujamiiayana ni kitu chenye thamani kubwa kwa mwanamke,ni sawa na kutoa utu wake kwako, kwahiyo kama bado hajiami na hayo uliyo muahidi mawazo yake hayatokuwa kwenye hilo tendo bali atakuwa anawaza madhara endapo hutotimiza uliyo muahidi. Kwahiyo wanawake kutofika kileleni wanaume tunaweza kuwa tunachangia kwa kiasi kikubwa kwasababu wengi wetu tunawadanganya mambo ambayo ndani ya mioyo yetu hayapo kabisa.
 
Ili mwanamke aweze kufika kileleni lazima awe ameandaliwa kisaikolojia kabla ya kufanya hilo tendo. Mwanaume ndiye mwenye wajibu wa kumuandaa mwanamke huyo, anawajibu wa kumhakikishia kuwa anachokitegemea ndani ya hayo mahusiano ni kweli na bayana ili asiwe na hofu kuwa unamdanganya au unamtumia then baada ya hapo wewe unashika ustarabu wako. Kumbuka kujamiiayana ni kitu chenye thamani kubwa kwa mwanamke,ni sawa na kutoa utu wake kwako, kwahiyo kama bado hajiami na hayo uliyo muahidi mawazo yake hayatokuwa kwenye hilo tendo bali atakuwa anawaza madhara endapo hutotimiza uliyo muahidi. Kwahiyo wanawake kutofika kileleni wanaume tunaweza kuwa tunachangia kwa kiasi kikubwa kwasababu wengi wetu tunawadanganya mambo ambayo ndani ya mioyo yetu hayapo kabisa.

Vumbi umeongea ukweli.
Ukiachana na wadada wanaojamiiana kwa sababu ya pesa, wanawake wengi hili tendo ni muhimu sana kwetu. na kama hujamzoea huyo mwanaume, naweza kusema hili tendo ni la aibu. sasa kama unafanya kitu ukiwa una aibu, sidhani kama unaweza ukawa free kiasi cha kufurahia kitu unachokifanya. kutokufika kileleni kwa mahusiano machanga, kwa mtazamo wangu, naona ni kawaida tu
 
Sababu nyingine kwa wanawake kutofika kileleni in female genital mutilation (fgm). Juhudi za ziada zinatakiwa kumfikisha kileleni mwanamke aliyefanyiwa hivi. Lkn inategemea extent ya fgm iliyofanywa. Kwa mfano Wagogo fgm yao ni radical, yaani linabaki shimo tu. Hawa ndo kabisa hawafiki, labda mwanaume awe na jogoo mkubwa na mrefu na pia ajue kuutumia ipasavyo ndo mwanamke atafika. Mwanamke wa kigogo akimpata mwanaume anayemfikisha kileleni hamwachi kirahisi. Imewahi kunitokea. Warangi wao fgm siyo radical, labia majora na remnant ya clitoris hubakia. Hawa wanafika kileleni kirahisi, and they are very sexy!

My opinion, pls!!!! I hope nobody will be annoyed.
 
Kauchunguzi kasiko rasmi nilikofanya kwa kujadiliana na wadada kadhaa ama directly au indirectly, nimegundua kuwa wengi wanapofanya mapenzi hawafiki kileleni. Pamoja na sababu chache za kiafya, lakini nimegungua kuwa tatizo kubwa ni kwao wenyewe, hasa wengi wanakuwa wanajijengea stress wakati wa ngono. Hali hii imewafanya wanawake wengi, hasa wanaoanza mapenzi kukosa ladha na wengine kutokuona umuhimu wa kufanya ila kwa kumridhisha mwanaume.

Lakini, kauchunguzi kangu kamenionyesha kuwa tatizo la wanawake kutokufika kileleni lipo sana kwa ndoa changa au mahusiano machanga. Inaoenelana kuwa, wakati mwanaume anaweza kupata full utamu kwa mwanamke ambaye wamekutana hata kwa mara ya kwanza, kwa wanawake wengi ni tofauti (najaribu kutafuta sababu za kisayansi). Wanawake wengi hufikishwa kileleni na wanaume waliowazoea, na ambao wameshafanya nao mapenzi mara kadhaa.

Hali hii ndiyo inayosababisha kwa wanawake wengi wanapoolewa, au wanapopata wapenzi wapya, wanashawishika kirahisi na wapenzi wao wa zamani, wakidhani kuwa walikuwa na maujuzi zaidi. Pia inasababisha baadhi ya wanawake hawatulii na mwanaume mmoja wakitafuta wa kuwafikisha, kwa kudhani kuwa umbile au saizi ya u.ume ina matter, au haiba au kitu kingine.

Wadau wa malavidavi mpooooooo?

Not necessarily true.

Its about sex techniques and know more about your partners body and sensitive parts.

Sex is not about intercourse only . . . it combines the mind, soul, spirit and the physical being.

Men has roles to play. Having a woman cumming even more than 10 times in 30 minutes intercourse is normal for experienced top of the line lovers.

If your partner also enjoys sex, never be suprised she can hit even > 30 times.

Wengine tunaogopa hata kusema the best number of times can cum, tunaweza kuambiwa waongo. Read read read and understand your partner.

A.
 
Ili mwanamke aweze kufika kileleni lazima awe ameandaliwa kisaikolojia kabla ya kufanya hilo tendo. Mwanaume ndiye mwenye wajibu wa kumuandaa mwanamke huyo, anawajibu wa kumhakikishia kuwa anachokitegemea ndani ya hayo mahusiano ni kweli na bayana ili asiwe na hofu kuwa unamdanganya au unamtumia then baada ya hapo wewe unashika ustarabu wako. Kumbuka kujamiiayana ni kitu chenye thamani kubwa kwa mwanamke,ni sawa na kutoa utu wake kwako, kwahiyo kama bado hajiami na hayo uliyo muahidi mawazo yake hayatokuwa kwenye hilo tendo bali atakuwa anawaza madhara endapo hutotimiza uliyo muahidi. Kwahiyo wanawake kutofika kileleni wanaume tunaweza kuwa tunachangia kwa kiasi kikubwa kwasababu wengi wetu tunawadanganya mambo ambayo ndani ya mioyo yetu hayapo kabisa.

Supported and well written!
 
Sababu nyingine kwa wanawake kutofika kileleni in female genital mutilation (fgm). Juhudi za ziada zinatakiwa kumfikisha kileleni mwanamke aliyefanyiwa hivi. Lkn inategemea extent ya fgm iliyofanywa. Kwa mfano Wagogo fgm yao ni radical, yaani linabaki shimo tu. Hawa ndo kabisa hawafiki, labda mwanaume awe na jogoo mkubwa na mrefu na pia ajue kuutumia ipasavyo ndo mwanamke atafika. Mwanamke wa kigogo akimpata mwanaume anayemfikisha kileleni hamwachi kirahisi. Imewahi kunitokea. Warangi wao fgm siyo radical, labia majora na remnant ya clitoris hubakia. Hawa wanafika kileleni kirahisi, and they are very sexy!

My opinion, pls!!!! I hope nobody will be annoyed.

Well written, also:

Study your partner as much as u can and understand her most sensitive parts. There are people are able to make their spouses me/women cum out even on phone leave aside physical sex. So guys learn how to:

1. Use your voice to motivate your partner to cum

2. Allocate her G-Spot hapo ni mwisho wa maarifa. she can cum like a pipe of water. ubeliavable.

3. Locate other sensitive parts like breasts, earlobes, inner hips, massaging etc etc etc

4. Dont go in yet until your partner has caught up the maximum heat . . .
 
Well written, also:

Study your partner as much as u can and understand her most sensitive parts. There are people are able to make their spouses me/women cum out even on phone leave aside physical sex. So guys learn how to:

1. Use your voice to motivate your partner to cum

2. Allocate her G-Spot hapo ni mwisho wa maarifa. she can cum like a pipe of water. ubeliavable.

3. Locate other sensitive parts like breasts, earlobes, inner hips, massaging etc etc etc

4. Dont go in yet until your partner has caught up the maximum heat . . .

JF shule kwa kweli,tell them......:coffee:
 
Ili mwanamke aweze kufika kileleni lazima awe ameandaliwa kisaikolojia kabla ya kufanya hilo tendo. Mwanaume ndiye mwenye wajibu wa kumuandaa mwanamke huyo, anawajibu wa kumhakikishia kuwa anachokitegemea ndani ya hayo mahusiano ni kweli na bayana ili asiwe na hofu kuwa unamdanganya au unamtumia then baada ya hapo wewe unashika ustarabu wako. Kumbuka kujamiiayana ni kitu chenye thamani kubwa kwa mwanamke,ni sawa na kutoa utu wake kwako, kwahiyo kama bado hajiami na hayo uliyo muahidi mawazo yake hayatokuwa kwenye hilo tendo bali atakuwa anawaza madhara endapo hutotimiza uliyo muahidi. Kwahiyo wanawake kutofika kileleni wanaume tunaweza kuwa tunachangia kwa kiasi kikubwa kwasababu wengi wetu tunawadanganya mambo ambayo ndani ya mioyo yetu hayapo kabisa.

Ubarikiwe na Mungu!!
 
Back
Top Bottom