Pamoja tunaweza. Ni wajibu kuelimishana.
Na nyie wakina dada pia be open in communication na Wenzi wenu. Waambieni ni nini mnataka, mguswe wapi na mfanywe nini.
Si na nyie akina dada mnagangamaa. kama gogo unamsubiri Mzee amalize unafikiri ni halali yake tu yeye kuenjot na climax na wala si wewe.
That is an old school thought. So tusaidiane
Mkuu hapa kwenye uwazi ndo kuna tatizo kubwa, wanadhani wakisema wanataka iweje na wafanyiwe nini wataonekana ni malaya. Wanaume karibia wote wanapenda kuwafikisha wenzi wao, ila tatizo ni wenzi kudanganya kama wamefika, kumbe laa, na mwanaume anaridhika basi hata hahangaiki tena kuongeza ujuzi wala kubadili mapigo, so amkeni na semeni mnataka nini?