Jana shemeji yenu kanipiga kibao

Jana shemeji yenu kanipiga kibao

Kama ni kweli amefika hatua ya juu sana we rudi akikuliza tena kaa kimya akirudia tena mwambie mpigie umulize akikupiga tena na wewe mfundishe adabu na mikanda mpaka atoke ngeu.au mtafutie sababu ya wewe nawe kumpiga zaidi ya alivyokupiga wewe atakuheshimu alichokifanya ni dharau kwa kuwa hata akifanya hivyo HUNA LA KUMFANYA
 
Sasa nahofia nikifika anaweza akasema tumpigie yule dada wakat nae kasema atakomaa kuwa mi ni mpenzi wake
Hapo sasa inabidi useme kweli kwani mpaka mnafikia hapo imeanza lini hiyo tabia yakupigia watu kuanza kusutana?
 
Hawa wamama hawa wamezidi sasa, ndiyo maana na hauz gel wanakuwa na chuki za kutatanisha.
 
Eti nini!!!mwanamke akakuzaba kibao!!!He he he,Mungu wangu are you a man enough?naomba kwa heshima ondoa hii thread yako,umetudhalilisha wanaume,eti nini???nizabwa kibao Hahahahahah makubwa.
kweli wewe ni tarime one
 
Jamani shemeji/wifi yenu hata sijui ilikuwaje, maana ninavyomfahamu ni mpole sana japokuwa anasumbuliwa mno na wivu.

Jana nimerudi zangu niko 4GB tu, nikaweka simu hapo kwenye chaji nikaenda kuoga, ile narudi akanidaka na kuniuliza huyu ....... (jina la kike) ndo nani maana amepiga hapa nikapokea nimemuuliza yeye ni nani akakata simu, mimi nikababaika tu maana lilikuwa ni swali la ghafla sana na sikutegemea kabisa, wakati natafuta jibu la haraka haraka ghafla nikashtukia kibao kizito sana kimetua shavuni kikifuatiwa na tusi zito mno halafu akasema na kesho utanieleza vizuri huyo malaya ni nani, nilipoangalia vizuri kumbe ni rafiki yangu wa kike (kikazi lakini) ndo alipiga.

Sasa hapa ndo nataka kuelekea home lakini sijajua nini kitatokea na huyo rafiki yangu nimempa picha yote na akasema hata nikimpigia ili anitetee atasema kuwa mimi ni mpenzi wake (maana huwa tunataniana nae sana kuhusu mambo ya malovee).

Nipeni msaada wa hilo wenzangu

Nikila ban kwa ajili yako weweee! Umetumwa nini nyooko we!
 
Jamani shemeji/wifi yenu hata sijui ilikuwaje, maana ninavyomfahamu ni mpole sana japokuwa anasumbuliwa mno na wivu.

Jana nimerudi zangu niko 4GB tu, nikaweka simu hapo kwenye chaji nikaenda kuoga, ile narudi akanidaka na kuniuliza huyu ....... (jina la kike) ndo nani maana amepiga hapa nikapokea nimemuuliza yeye ni nani akakata simu, mimi nikababaika tu maana lilikuwa ni swali la ghafla sana na sikutegemea kabisa, wakati natafuta jibu la haraka haraka ghafla nikashtukia kibao kizito sana kimetua shavuni kikifuatiwa na tusi zito mno halafu akasema na kesho utanieleza vizuri huyo malaya ni nani, nilipoangalia vizuri kumbe ni rafiki yangu wa kike (kikazi lakini) ndo alipiga.

Sasa hapa ndo nataka kuelekea home lakini sijajua nini kitatokea na huyo rafiki yangu nimempa picha yote na akasema hata nikimpigia ili anitetee atasema kuwa mimi ni mpenzi wake (maana huwa tunataniana nae sana kuhusu mambo ya malovee).

Nipeni msaada wa hilo wenzangu
[/........MWACHE AJIFURAHISHE TU
 
Ndio vizuri mbona siye mkitupiga mnaona pow tu. Safiiiiiiiiiiiiii na ukomee weye.
 
Kuonjewa vyako kunauma aisee....


Leo kaa mbali unaweza kula mitama kadhaa
 
Ukifika home usiulize....unaanza na ngumi nne za chembe....kabla hajatoa sauti unaachia ngumi moja ya mdomo.....akiinama tu.....unainuka na kifuti cha.....akifika chini anakutana na mateke manne ya mbavu....huku ukimalizia na kelbu moja ya ghafla.......ukitoka unaenda kuoga unaenda zako baa kupunguza stress lakini umemuachia mia mbili ya diclopar....(Za kuambiwa changanya na za kwako)
 
Ukifika home usiulize....unaanza na ngumi nne za chembe....kabla hajatoa sauti unaachia ngumi moja ya mdomo.....akiinama tu.....unainuka na kifuti cha.....akifika chini anakutana na mateke manne ya mbavu....huku ukimalizia na kelbu moja ya ghafla.......ukitoka unaenda kuoga unaenda zako baa kupunguza stress lakini umemuachia mia mbili ya diclopar....(Za kuambiwa changanya na za kwako)

Mh......kwa kipigo hicho hayo maumivu yatatibiwa ja diclopar tu kweli
 
mkikua mtaacha sim...msg ya mwanamke

watu tunafumania tuna mute
huyo mpenzio mkidumu sana kwenye ndoa maana najua hamjaoana itakua ni miez kadhaa tu
kama asipobadilika

Mkuuu umetoa fact....big up sana.
 
Back
Top Bottom