Jana shemeji yenu kanipiga kibao

Jana shemeji yenu kanipiga kibao

sishangai kwasababu ndo life cycle..
mwanamke mtata lazma apate mwanaume ----/mzembe/muoga ili muweze kumatch

ni swala la positive na negative attract na same side zina repel..

Binafsi mwanamke wangu hajawahi hata kuota kuninyanyulia mkono, na ata akiota,naona atapata nightmare mbaya sanaaa....maana hiki kichwa changu anakijua ..and not to forget yeye mpole in nature

Mkuu ni sawa na li nchi kama USA linalojiamini kwa kuwa na uchumi mkubwa na maguvu ya kijeshi halafu lije kupigwa na ki ji nchi kama Rwanda (huo ni mfano tu) unadhani itakuwaje zaidi ya jamaa kukaa na kujitathmini kwanza
 
Yuko Sawa ningekuwa mm ni kichapo hadi majogoo kwan kama ni rafiki mwema kwann akate cm na ni kwwnn usité kujibu ? Acha mama afanye kazi yake. Safiiiii........

Nazishangaa sana akili za mwenzenu, nikimwambia twende basi tukamuulize kama ni kweli nagegeduana nae hataki sasa cjui lengo lake ni lipi
 
Jamani shemeji/wifi yenu hata sijui ilikuwaje, maana ninavyomfahamu ni mpole sana japokuwa anasumbuliwa mno na wivu.

Jana nimerudi zangu niko 4GB tu, nikaweka simu hapo kwenye chaji nikaenda kuoga, ile narudi akanidaka na kuniuliza huyu ....... (jina la kike) ndo nani maana amepiga hapa nikapokea nimemuuliza yeye ni nani akakata simu, mimi nikababaika tu maana lilikuwa ni swali la ghafla sana na sikutegemea kabisa, wakati natafuta jibu la haraka haraka ghafla nikashtukia kibao kizito sana kimetua shavuni kikifuatiwa na tusi zito mno halafu akasema na kesho utanieleza vizuri huyo malaya ni nani, nilipoangalia vizuri kumbe ni rafiki yangu wa kike (kikazi lakini) ndo alipiga.

Sasa hapa ndo nataka kuelekea home lakini sijajua nini kitatokea na huyo rafiki yangu nimempa picha yote na akasema hata nikimpigia ili anitetee atasema kuwa mimi ni mpenzi wake (maana huwa tunataniana nae sana kuhusu mambo ya malovee).

Nipeni msaada wa hilo wenzangu
Pole sana mkuu..! Lakini kabla sijakusaidia nini cha kufanya naomba unijibu maswali haya hapa chini kwa ufasaha na uhalisia wake....!
  1. Je, kibao ulichopigwa kiliuma?
  2. Je, mna muda gani katika ndoa yenu?
  3. Je, mkeo aliwahi kukuadidhia facts za historia yake?
  4. Je, unavyowafahamu wapenzi wako wote hao, unadhani huenda wanafahamiana ukiwakutanisha?
Hayo tu kwa sasa....!
 
Naamini kuwa mpaka kufikia hatua ya kumgeuzia ili apige shavu la pili wananzengo wangemkuta hana meno ya mbele
Angekutana na dhoruba, mpenzi humpigi kama unavyopigana na mwanaume mwenzio. Mpenzi unampiga kiaina aina
 
Back
Top Bottom