Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,791
Kaka mkubwa kwanza umejiabisha kuanzia wewe mwenyewe mpaka sisi wanaume,utakuzabaje kibao mkeo na wewe umwangalie,hizo ni zarau sio siri...!
Nakushauri chukua hatua haraka iwezekanavyo mkanye au ikiwezekana mkasirikie kabisa kumwonesha kwamba hiko kitendo hukuridhika nacho hata kama ndio mapenzi,ukichelewa utajikuta anakudhalilisha mbele ya watu hivihivi.
Kumbuka mazoea hujenga tabia.
Nakushauri chukua hatua haraka iwezekanavyo mkanye au ikiwezekana mkasirikie kabisa kumwonesha kwamba hiko kitendo hukuridhika nacho hata kama ndio mapenzi,ukichelewa utajikuta anakudhalilisha mbele ya watu hivihivi.
Kumbuka mazoea hujenga tabia.