Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,940
- 7,224
Watanzania
Tujifunze First Aid
Tuwe na First Aid kits majumbani kwetu. Tuwe na antivenom majumbani kwetu na tuwafundishe wote tunaoishi nao jinsi ya kutumia hizo aid kits.
Tukifanya hivi tutapunguza vifo vingi visivyo na msingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkubwa hizi anti-venom zinatofautiana, kufuatana na aina ya nyoka...Halahala tutakuja kupeana sumu na kuuana badala ya kujitibu..tukaitana wachawi
Everyday is Saturday................😎