Mvumbo
JF-Expert Member
- Aug 20, 2015
- 3,491
- 12,145
- Thread starter
- #21
Akhsante sana kwa kwa ushauri mkuu.Siku nyingine ikitokea fanya haya
1 ufunge mguu sumu isipande (hii nadhan ulifanya)
2 chanja mguu au sehem iliyoumwa ili ile damu iliyozuiwa na kamba iwe inatoka nje, inapotoka inatoka na sumu
3 kunywa mkojo
Halafu wahi hospital
Sent using Jamii Forums mobile app