Jana nimeng'atwa na nyoka mguuni!

Jana nimeng'atwa na nyoka mguuni!

Siku nyingine ikitokea fanya haya
1 ufunge mguu sumu isipande (hii nadhan ulifanya)
2 chanja mguu au sehem iliyoumwa ili ile damu iliyozuiwa na kamba iwe inatoka nje, inapotoka inatoka na sumu
3 kunywa mkojo

Halafu wahi hospital
Akhsante sana kwa kwa ushauri mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania
Tujifunze First Aid

Tuwe na First Aid kits majumbani kwetu. Tuwe na antivenom majumbani kwetu na tuwafundishe wote tunaoishi nao jinsi ya kutumia hizo aid kits.

Tukifanya hivi tutapunguza vifo vingi visivyo na msingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushukuru sana kwa ushauri wako, ni kweli maana hapo hata kufunga tu kulikuja baadae kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika, wameamka wapo safi kabisa wanaendelea na mishe zao huku mimi nauguza jeraha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu!

Kwa ushauri kwa sie tunaoishi mashambani lazima uwe na nguo na viatu vya tahadhari!

Sehemu kama hizo nunua boots za kijeshi na rain boots! Pia kuwa na combact au suruali ngumu!

Ziweke sehemu ambayo ni rahisi kuvaa fastaa linapotokea jambo ili ukisikia kokoro usitoke na ndala au sendo tena!

Vipi ungekuta mwizi na yapaswa umkimbize machakani? Ungemkimbiza na ndala? Au huyo nyoka angekugonga kama ungekuwa kwenye boots?
 
Back
Top Bottom