Jana nimelala geto kwa demu wangu huko mbagala leo nimeamka hivi, nisaidieni kujua hii ni condition gani?

Jana nimelala geto kwa demu wangu huko mbagala leo nimeamka hivi, nisaidieni kujua hii ni condition gani?

Stability

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2020
Posts
571
Reaction score
1,829
Wakuu!

Jana nimelala geto kwa demu wangu huko mbagala leo nimeamka hivi, nisaidieni kujua hii ni condition gani?

f78a7bf02f04c31ea0b06aeff99e7a97~4.jpg
 
Kama vinawasha na kuuma pia inaweza kuwa Hives, hii inasababishwa na aleji kama ulipolala kitanda hakikunyooka vizuri mashuka na kama palikuwa na joto pia. Hiyo issue inaweza ikaondoka yenyewe baada ya muda usiwaze sanaa.

Joke: Inaonekana unatokea ushuani mkuu ukaenda kulala uswahilinii😁
 
Normal skin reaction ya kawaida, inatokana na mazingira ya aina yoyotr isio ya kawaida uloikuta ndani ya chumba au kitanda cha mboga yako. Itaisha just within four days. Ila next unapomtembelea be careful sana kwa mazingira utayoegesha mgongo wako
 
Back
Top Bottom