kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,515
- 12,599
Wakuu hapa niko hospital
Jana nimepigwa vibaya mno. Nilienda grocery moja hivi nikamkuta mhudumu mmoja wa kike mzuri balaa, nikaanza kumtongoza kumbe pembeni jamaa aliyekua anapiga mvinyo ni bwana ake tena wa ndoa.
Alivyooana namtongoza yule manzi akanionya me sikusikia, mara ya tatu coz I was drunk nikamtukana jamaa, aroo wamenipiga hatari, daktari ananiambia hapa nimeletwa na diffender ya polisi nilikua sijitambui.
Pombe sio kabisa.
Jana nimepigwa vibaya mno. Nilienda grocery moja hivi nikamkuta mhudumu mmoja wa kike mzuri balaa, nikaanza kumtongoza kumbe pembeni jamaa aliyekua anapiga mvinyo ni bwana ake tena wa ndoa.
Alivyooana namtongoza yule manzi akanionya me sikusikia, mara ya tatu coz I was drunk nikamtukana jamaa, aroo wamenipiga hatari, daktari ananiambia hapa nimeletwa na diffender ya polisi nilikua sijitambui.
Pombe sio kabisa.