Jana nilijua SImba SC tunaenda labda Kutambulishwa Kocha Mkuu mpya au Mchezaji kumbe ni Kuonyesha tu 'Beacons' na 'Ramani' za Bunju

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,586
108,939
Sasa nimeamini kwanini Boss wangu wa zamani na Kiongozi ninayemkubali Simba SC Mzee Ismail Aden Rage alisema kuwa Sisi wana Simba SC ni Mambumbu sana na hakika alikuwa sahihi Kutudhihaki kiasi kile.

Mnaacha kutuambia Kocha Mkuu anakuja lini, Usajili utakuwaje na kwanini Msimu huu tumetoka patupu mnatuhamisha Mawazo yetu ya Usununu (UIchungu ) kutupeleka katika Ujenzi wa Uwanja wa Awali wa Mazoezi ambapo hata Pesa zenyewe bado hazina uhakika wa kuwepo/ kupatikana kwa sasa.
 
Unajua viongozi wa hizi timu mbili huwa wanawachukulia poa mashabiki wao, walichokifanya Simba jana ni kukosa heshima kwa mashabiki wao. Jambo la msingi wanatakiwa kusajili vizuri vinginevyo msimu ujao wataleta mtafaruku mkubwa ndani ya Club kwasababu mashabiki wamesha onja radha ya kuchukua ubingwa na kufanya vizuri kimataifa.
 
Unajua viongozi wa hizi timu mbili huwa wanawachukulia poa mashabiki wao, walichokifanya Simba jana ni kukosa heshima kwa mashabiki wao. Jambo la msingi wanatakiwa kusajili vizuri vinginevyo msimu ujao wataleta mtafaruku mkubwa ndani ya Club kwasababu mashabiki wamesha onja radha ya kuchukua ubingwa na kufanya vizuri kimataifa.
Sisi mashabiki was Simba tunaojielewa tunapongeza jitihada za viongozi. Ukiwa kama mzazi hupaswi kuwafurahisha wanao Kwa chakula kizuri na vinywaji wanavyoandaliwa na dada was kazi.

Siku wanapokula kande au kushinda njaa wanatambua kwamba kumbe maisha yana utafutaji ili ule vizuri hivyo kama mzazi lazima uwekeze Kwa vitega uchumi. Ndicho wanachokifanya viongozi, Sasa ninyi mnataka mle pilau Kila siku kutumia pesa kusajili bila kufanya investment?

Kusajili ni mchakato wa Kila mwaka lakini ujenzi unaweza kufanya Leo ukakunufaisha miaka 50 ijayo.

Acheni mawazo ya kizamani, mpira ni biashara siyo makelele tu!
 
Unajua viongozi wa hizi timu mbili huwa wanawachukulia poa mashabiki wao, walichokifanya Simba jana ni kukosa heshima kwa mashabiki wao. Jambo la msingi wanatakiwa kusajili vizuri vinginevyo msimu ujao wataleta mtafaruku mkubwa ndani ya Club kwasababu mashabiki wamesha onja radha ya kuchukua ubingwa na kufanya vizuri kimataifa.
Wewe no Mmoja wa Mashabiki wa Simba SC Werevu ( Intelligent ) sana hapa Jamvini JamiiForums. Ubarikiwe mno Mkuu.
 
Sisi mashabiki was Simba tunaojielewa tunapongeza jitihada za viongozi. Ukiwa kama mzazi hupaswi kuwafurahisha wanao Kwa chakula kizuri na vinywaji wanavyoandaliwa na dada was kazi.

Siku wanapokula kande au kushinda njaa wanatambua kwamba kumbe maisha yana utafutaji ili ule vizuri hivyo kama mzazi lazima uwekeze Kwa vitega uchumi. Ndicho wanachokifanya viongozi, Sasa ninyi mnataka mle pilau Kila siku kutumia pesa kusajili bila kufanya investment?

Kusajili ni mchakato wa Kila mwaka lakini ujenzi unaweza kufanya Leo ukakunufaisha miaka 50 ijayo.

Acheni mawazo ya kizamani, mpira ni biashara siyo makelele tu!
Kwa haya mawazo ya kikolo mpira wetu utasubir sana,so Simba waachane na ushindani uwanjani waelekeze nguvu kweny kujenga uwanja?
 
Yaani Stail waliyotumia wakina Kilomoni kujenga jengo la klabu mwaka 1970 ndio inayotumiwa na viongozi wa Simba 2022 kujenga uwanja wa mpira wa miguu.
Sasa huu ndio umbumbumbu wa kiwango Chalami.
 
Kusajili kunafanywa bila kuangalia mahitaji na malengo ya club. Board ina ujuzi gani wa kudetermine needs ya coach. Kumpa coach contract na targets za mwaka kwa team ambayo siyo chaguo lake, ni kumtafutia lawama bure. There is a need of having long term plans and targets. Borrow a leaf from the current coach of Arsenal.
 
Sasa nimeamini kwanini Boss wangu wa zamani na Kiongozi ninayemkubali Simba SC Mzee Ismail Aden Rage alisema kuwa Sisi wana Simba SC ni Mambumbu sana na hakika alikuwa sahihi Kutudhihaki kiasi kile.

Mnaacha kutuambia Kocha Mkuu anakuja lini, Usajili utakuwaje na kwanini Msimu huu tumetoka patupu mnatuhamisha Mawazo yetu ya Usununu (UIchungu ) kutupeleka katika Ujenzi wa Uwanja wa Awali wa Mazoezi ambapo hata Pesa zenyewe bado hazina uhakika wa kuwepo/ kupatikana kwa sasa.
Kweli wewe ni kubwa Jinga!
 
Sasa nimeamini kwanini Boss wangu wa zamani na Kiongozi ninayemkubali Simba SC Mzee Ismail Aden Rage alisema kuwa Sisi wana Simba SC ni Mambumbu sana na hakika alikuwa sahihi Kutudhihaki kiasi kile.
Mnaacha kutuambia Kocha Mkuu anakuja lini, Usajili utakuwaje na kwanini Msimu huu tumetoka patupu mnatuhamisha Mawazo yetu ya Usununu (UIchungu ) kutupeleka katika Ujenzi wa Uwanja wa Awali wa Mazoezi ambapo hata Pesa zenyewe bado hazina uhakika wa kuwepo/ kupatikana kwa sasa.
Samahani Mkurugenzi! ungeongeza neno "mbu" mbele ya hilo neno "Mambumbu" ili kuleta mantiki sahihi ya kile alichokisema Mwenyekiti wetu wa simba wa wakati huo, Mheshimiwa Ismail Aden Rage.
 
Back
Top Bottom