Ertugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 12,973
- 25,580
Ndo ulivyoambiwa na daktarikweli vile, mwenzio napenda sana kula😅, sasa kitu kama chips nikiibakiza nahisi siko sawa kimwili
Ndo ulivyoambiwa na daktarikweli vile, mwenzio napenda sana kula😅, sasa kitu kama chips nikiibakiza nahisi siko sawa kimwili
enyewe yule taper wangu alikua amenizoea ikitokea nimebakiza anaomba kufungiwa kwa niaba yangu🤭😅😅 maana anajua nimeona aibu kutokana na wingi wa watuUmuker wa hene. Legeza kidogo bas🤣🤣 hio ni ukiwa mwenyewe au hata ukiwa na tapeli mwenzako.? home g...! 🤸
si ndio😅😅😅😅, tena aliongezea kwa kusema "kitambi ni bora kuliko madonda ya tumbo"Ndo ulivyoambiwa na daktari
Sema tu uroho wa chips umekuzidi so ukibakisha roho inakuuma halafu unasingizia hujisikii vizursi ndio😅😅😅😅
sio chips tu hata pilau na nyama Kavu nafuta sahani mbili kubwa plus soda😅😅😅,,, nikienda kwenye sherehe huwa naomba cha watu wawiliSema tu uroho wa chips umekuzidi so ukibakisha roho inakuuma halafu unasingizia hujisikii vizur
Kwa stahili hiyo ukiachwa wala usilaumu tu🤣🤣sio chips tu hata pilau na nyama Kavu nafuta sahani mbili kubwa plus soda😅😅😅,,, nikienda kwenye sherehe huwa naomba cha watu wawili
kwani kula ni dhambi jamni😪 mbona mnaninyanyasaKwa stahili hiyo ukiachwa wala usiaumu tu🤣🤣
Yani ukitoka out na demu mmoja Kama umetoka na mademu wawili,hapana aiseekwani kula ni dhambi jamni😪 mbona mnaninyanyasa
utakomaYani ukitoka out na demu mmoja Kama umetoka na mademu wawili,hapana aisee
Nyie ndio mkienda kwenye sherehe yenye bufee,mnajaza sahani mpaka baadae mnakuja kubakisha mpaka aibuutakoma
naona unanichamba sio?,,, yote kwa yote haifuti uhalisia wangu napenda kula ayu zea😏Nyie ndio mkienda kwenye sherehe yenye bufee,mnajaza sahani mpaka baadae mnakuja kubakisha mpaka aibu
Ipo siku nitakutoa out,nampanga kabisa mhudumu "huyu mrembo anapenda kula kuliko kuishi,mletee plate za kutosha aumbuke leo daadeki"naona unanichamba sio?,,, yote kwa yote haifuti uhalisia wangu napenda kula ayu zea😏
nani kasema nitaumbuka?, yani aibu utaona wew kazi yangu itakua kula tu😆😆 tumbo langu ni la mpira huvutika na kusinyaaIpo siku nitakutoa out,nampanga kabisa mhudumu "huyu mrembo anapenda kula kuliko kuishi,mletee plate za kutosha aumbuke leo daadeki"
Tunaenda kiwanja ambacho,kwanza tunaanza na starch tuna worm tumbo kwanza,soup ya uyoga,salad kidogo na udambwi Flav hivi,sasa msosi wenyewe badonani kasema nitaumbuka?, yani aibu utaona wew kazi yangu itakua kula tu😆😆 tumbo langu ni la mpira huvutika na kusinyaa
we haunijui ndo maana, hivi kitu kama soup ya uyoga na vi salad ndo vyakunifanya nishibe?,, hivyo ni kama vinafungua njia ya kupitisha chakula,,Tunaenda kiwanja ambacho,kwanza tunaanza na starch tuna worm tumbo kwanza,soup ya uyoga,salad kidogo na udambwi Flav hivi,sasa msosi wenyewe bado
Sasa ukila kama ndio unakula ujue msosi kamili ukija utakuwa umeshiba,halafu utajifanya unajisikia vibaya kumbe roho inakuuma imekuja menu ya kufa mtu halafu ndio ushashiba sasa🤣🤣
🤣🤣imeisha hiyo naiweka kwenye diary yangu,nitaku surprise siku mojawe haunijui ndo maana, hivi kitu kama soup ya uyoga na vi salad ndo vyakunifanya nishibe?,, hivyo ni kama vinafungua njia ya kupitisha chakula,,
mi naisubiri hiyo siku tu ili ujionee kwa macho sio kusimuliwa tena😉😄😄
sawaaaaaa😊🤣🤣imeisha hiyo naiweka kwenye diary yangu,nitaku surprise siku moja
Kama vipi baadae m2 wangusawaaaaaa😊
sawa mi nipo, ukipata mda nicheki tu familiaKama vipi baadae m2 wangu