JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Mhubiri 4:9-11
9 Afadhali kuwa wawili kuliko mmoja; Maana wapata ijara njema kwa kazi yao.

10 Kwa maana wakianguka, mmoja wao atamwinua mwenzake; lakini ole wake aliye peke yake aangukapo, wala hana mwingine wa kumwinua!

11 Tena, wawili wakilala pamoja, hapo watapata moto; lakini mmoja aliye peke yake tu awezaje kuona moto?
 
Nasikiliza tu ngoma za pato,rude,mr fleva,tiwa,yemi na sarkodie! Usingizi hauji!!

Sijui nikakeshe kwa huyu bidada? Eti win-one mjuba amerudi??
0128
ndo amerudi saiv anasema mvua kulikua na mafuriko kwenye banda la mpira ameshindwa kutoka cha ajabu kajaa love bite anasema aling'atwa wadudu😪🤦‍♀️
 
Back
Top Bottom