secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,293
- 43,407
13:09.
Bado niko macho.
Bado niko macho.
Pacha ma tarumbetaHili halijaisha tutarudi ila sa hivi makesure unatupa missile tu usijibu mataahira..!!
Nakuaminia kamanda halafu yule mjinga nishamjua chokoraa mmoja hivi kajibebesha majukumu sio yake..!! 😹😹😹
Ana bifu na sisi wote watatu, itakuwa tulimkataa anatoa sumu zake..!!
Wewe nawe unajishaua ili upewe kei ya bure na D 😹😹😹Huo uzushi wako na story zako za kutunga hutafanikiwa. Nitakukukabili kwa nguvu kubwa
🤔, Kunani jameni?Hili halijaisha tutarudi ila sa hivi makesure unatupa missile tu usijibu mataahira..!!
Nakuaminia kamanda halafu yule mjinga nishamjua chokoraa mmoja hivi kajibebesha majukumu sio yake..!! 😹😹😹
Ana bifu na sisi wote watatu, itakuwa tulimkataa anatoa sumu zake..!!
Jamaa mjinga dhaifu kweli anaripoti ili tupewe ban sasa si uoga huo 😹😹😹Pacha ma tarumbeta
Vita ya mikia na mikei michafuuuu 😹😹🤔, Kunani jameni?
Aisee kwamba huna team, ila una shambulia upande mmoja kidogo😅Jamaa mjinga dhaifu kweli anaripoti ili tupewe ban sasa si uoga huo 😹😹😹
Halafu sisi wambea hatuna team tunataka tuset mzani bila upendeleo..!!
Sema hii ID yako kama naipatapata hivi 😂.Vita ya mikia na mikei michafuuuu 😹😹
Mmbea toka lini akawa na team??Aisee kwamba huna team, ila una shambulia upande mmoja kidogo😅
Was just a bluff😆😆You better be, cause the last song you recommend for me ain't playing. it's just available on meta 😅
Wala sio jasusi hii I’d inajulikana mpk na Max mwenyewe..!! Na anajua chanzo cha kuwa na hii id..!!Sema hii ID yako kama naipatapata hivi 😂.
Kumbuka Mimi ni bonge la jasusi 😎.
Hebu tuone hii ID ikipigwa mtama utakuja vipi 😂. Mi naangalia tu.Wala sio jasusi hii I’d inajulikana mpk na Max mwenyewe..!! Na anajua chanzo cha kuwa na hii id..!!
Ushindweeeee..!! 😹😹😹Hebu tuone hii ID ukipigwa mtama utakuja vipi 😂. Mi naangalia tu.
Kwa hiyo huyo jamaa aliyewaripoti anataka kuipitisha meli yake kwenye mlango wa Hormuz bila kulipia ushuru, siyo?Ushindweeeee..!! 😹😹😹
Mi kontawa, Kamanda wa vita zote za ardhini, majini mpk angani..!!
This what makes me hate you to the highest level.Was just a bluff😆😆
pacha ko we ni chaja ya Kobe 😅Mmbea toka lini akawa na team??
Mimi nashambulia kotekote, nyuma mbele, kushoto kulia, juu chini hadi katikati..!!
Wambea tunataka ubuyu hatutaki team sisi.
Wewe si unanijua? 😹😹😹
That means u do care😍..This what makes me hate you to the highest level.
It depends, but with what you did?. Guess you considered me as an enemy not friendThat means u do care😍..
Sipo kwa ajili ya kugombana na mtu, nipo kwa ajili ya kupinga na kuzuia uzushi wowote dhidi ya depallWewe nawe unajishaua ili upewe kei ya bure na D 😹😹😹
Sasa ugomvi kama unauweza unaripoti vya nini??
Wewe muoga, ungekuwa na balls kweli ungeacha mchezo uchezeke bila kuombeana ban..!! Huo ni udhaifu na unaonekana umeshindwa..!!
Who said so?ee urr 😆😆It depends, but with what you did?. Guess you considered me as an enemy not friend