Mtoto wa tajiri
JF-Expert Member
- Jun 24, 2019
- 232
- 430
00:18
No sleep
No sleep
Au utadelete kikombe 😂01:01 usi chezee simu ya mganga, uta delete mizimu
Oya adabu ihusike mzeeAu utadelete kikombe 😂
Newcastle nae lazima akubandue bwashee 😂Oya adabu ihusike mzee
Acha matusi 😹Newcastle nae lazima akubandue bwashee 😂
Oya weeh 😹😹Oya adabu ihusike mzee
Pacha usha pagawaOya weeh 😹😹
Nenda qb😀Hivi huu ukanda wa kimara-mbezi kuna kiwanja gani chenye vibe dairy? Nipo mbezi kila ninapoingia hakuna vibe.
Niki fungwa au ku draw na Newcastle, nakupa hii I'd yangu qmar weeNewcastle nae lazima akubandue bwashee 😂
Rudi sinza au posta kuna unyamwezkHivi huu ukanda wa kimara-mbezi kuna kiwanja gani chenye vibe dairy? Nipo mbezi kila ninapoingia hakuna vibe.
Wee mzee 02:09 acha kulala kiwaki03:09
The GOAT😀😀😀😀00:51 muda wa kustaafu, miaka 4 hakuna challenge ya maana usiku wa manane.
- Shadow7, kachochora
- Kichwa Kichafu - mia
- Bantu Lady, uzee
- Mjep - ana sinzia ka godoro
- Mad Max - pisi yake ina muongelesha, hadi ana sinzia bila kujua.
- Dahan - angalau kwa mbali
Mimi ndio nime bakia kuwa protector of the realm, a. K.a. Lord of the ring
Just like Eminem, I came to claim the game, but the game ain't gonna be the same the day I leave itThe GOAT😀😀😀😀
Mi nipagawe nishazoea hekaheka zote za humu..!! 😹😹😹Pacha usha pagawa