Sogea mapacha Kaka ,tupate walau mvinyo kidogo mkuu02:54 Mbeya hii..
Week end kaka tukijaaliwa nipo Tunduma hiyo ilikua jana, NashukuruSogea mapacha Kaka ,tupate walau mvinyo kidogo mkuu
Pamoja ndugu ,uwapo mbeya tuonane ndugu ,waweza kunipa michongo ya nchi za mbali nikaacha kukesha barabarani na ajira za mama kizimkaziWeek end kaka tukijaaliwa nipo Tunduma hiyo ilikua jana, Nashukuru
OK sawa kaka karibu nitumie namba PM ili iwe rahisi Mbeya ni kwa Wazazi hapo napita mara kwa mara sana ntakutafuta.Pamoja ndugu ,uwapo mbeya tuonane ndugu ,waweza kunipa michongo ya nchi za mbali nikaacha kukesha barabarani na ajira za mama kizimkazi
Old is goldNipo nasililiza NGOMA za kitambo sanaaa hapa..
Nakumbuka mambo mengi Sana na watu wa zamani
Maisha yako fasta fasta Sanaa
R.i.p NKWABI
hatari usingizi sio mzuri eti pmNow🤣
Karibu sana jukwaa linafunguliw saa sita usiku mpaka majogoo...Wazee wa kukesha night kali mnikaribishe humu ndani basi mimi ni mgeni kwenye hii thread