Nakupikea 03.30Mlinzi wa zamu nipo hapa.... Nipo macho 0329HRS
Ukitaka kulala,mie nipo niendelee.Nakupikea 03.30
kuna lijamaa nmeona mahali linachekelea eti mods wamefuta uzi wako 😆na tangazo ulshatoa kua utafutwa,,nkacheka kmya kmyaSiyo uzi wetu. Ule unaotusema vibaya. Tuko pamoja mamii 🥰
😂Wanga mtakoma
Mwizi kaibiwaBado Niko nje ya hii gesti Kama mlinzi. Nasikia humu ndani jamaa baada ya kusikia swala swala wameanza amsha amsha. Wanawake wezi Sana. Walipokuja walikua wanafanya kimya kimya, Sasa hivi humu ndani kila mmoja anajaribu kumzidi mwenzie miguno maana wakati wa kukatiwa pochi umekaribia.
Ulinzi wa kwenye gesti unahitaji ubumilivu jamani.
Uko nje ya mdaa ilo lisaa tushalipita mda
Typing errors ni 0633Uko nje ya mdaa ilo lisaa tushalipita mda
Yaani walipolalia ndipo tulipoamkia. Nilisema mapema uzi unafutwa na nikaaga. Anachofurahia nini. Tucheke tu kipenzi hakuna namna 😅😅😅😅😅kuna lijamaa nmeona mahali linachekelea eti mods wamefuta uzi wako 😆na tangazo ulshatoa kua utafutwa,,nkacheka kmya kmya
🤣🤣🤣wivuYaani walipolalia ndipo tulipoamkia. Nilisema mapema uzi unafutwa na nikaaga. Anachofurahia nini. Tucheke tu kipenzi hakuna namna 😅😅😅😅😅
Uliopitiliza kumbe umeonaee mrembo wangu. Na dawa hawaipati 😄😄😄🤣🤣🤣wivu