JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Bado Niko nje ya hii gesti Kama mlinzi. Nasikia humu ndani jamaa baada ya kusikia swala swala wameanza amsha amsha. Wanawake wezi Sana. Walipokuja walikua wanafanya kimya kimya, Sasa hivi humu ndani kila mmoja anajaribu kumzidi mwenzie miguno maana wakati wa kukatiwa pochi umekaribia.
Ulinzi wa kwenye gesti unahitaji ubumilivu jamani.
 
Bado Niko nje ya hii gesti Kama mlinzi. Nasikia humu ndani jamaa baada ya kusikia swala swala wameanza amsha amsha. Wanawake wezi Sana. Walipokuja walikua wanafanya kimya kimya, Sasa hivi humu ndani kila mmoja anajaribu kumzidi mwenzie miguno maana wakati wa kukatiwa pochi umekaribia.
Ulinzi wa kwenye gesti unahitaji ubumilivu jamani.
Mwizi kaibiwa
 
kuna lijamaa nmeona mahali linachekelea eti mods wamefuta uzi wako 😆na tangazo ulshatoa kua utafutwa,,nkacheka kmya kmya
Yaani walipolalia ndipo tulipoamkia. Nilisema mapema uzi unafutwa na nikaaga. Anachofurahia nini. Tucheke tu kipenzi hakuna namna 😅😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom