Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 8,312
- 28,481
Kivipi boss, hapa nacomment na jicho moja limefumbawiz ana kichafua tweeter 😆😂
Kivipi boss, hapa nacomment na jicho moja limefumbawiz ana kichafua tweeter 😆😂
si album yake Ina karibia, so ana wadiss kina davido na don jazzy ili a trend.Kivipi boss, hapa nacomment na jicho moja limefumba
Hatu hitaji hata 1lsenti yako, Kikubwa ibuka kwenye sherekhe kaka😆😂.Unaoa kweli au unataka tu ule michango yetu
Hapo nimeelewa kwa nini alimdiss obo. Kama anaachia album, aachie in peace tu japo kachangamsha wapoposi album yake Ina karibia, so ana wadiss kina davido na don jazzy ili a trend.
Sasa ni vituko hatari😆😂😂
Ni mwezi wa ngapi na wapi?Hatu hitaji hata 1lsenti yako, Kikubwa ibuka kwenye sherekhe kaka😆😂.
Natamani ndugu yangu Shadow7 awepo pia kharusini.
yeap, hawa wajinga Wana I promote kijanja.Hapo nimeelewa kwa nini alimdiss obo. Kama anaachia album, aachie in peace tu japo kachangamsha wapopo
Nahisi ita kuwa mwishoni mwa Mwaka kaka, and guess what ana julikana 😆😂Ni mwezi wa ngapi na wapi?
Anajulikana humu?Nahisi ita kuwa mwishoni mwa Mwaka kaka, and guess what ana julikana 😆😂
😂😂 ngoja niingie x nikaone.. Ila wizzy mtoto wa street Ila ana ego kama kakulia banana islandsyeap, hawa wajinga Wana I promote kijanja.
Yaani wizzy waku muita don jazzy influencer?😆
Kaka elewa mwishoni mwa Mwaka, and it will be a big pleasure kwa marafiki zangu kuwa hapo.Anajulikana humu?
ana kuambia hatoi Nyimbo, mpaka mumu ombe Kama obo alivyo kuwa ana omba k 😂😆😂😂 ngoja niingie x nikaone.. Ila wizzy mtoto wa street Ila ana ego kama kakulia banana islands
Niliona hii 😂.. Hana akili, sisi kama fans wa obo, tumeikataa album kabla haijatokaana kuambia hatoi Nyimbo, mpaka mumu ombe Kama obo alivyo kuwa ana omba k 😂😆
Oya hii album wali mnyima Grammy obo, nasubiri video ya hii.Niliona hii 😂.. Hana akili, sisi kama fans wa obo, tumeikataa album kabla haijatoka
Oya hii album wali mnyima Grammy obo, nasubiri video ya hii.
View attachment 2986222
Obo wali mfanyia fitina tu, tyla shughuli yake ime ishia hapo.Dunia inawaangalia Burna & Tems &Tyla.. Wengine tusubiri labsa Wizzy akipata, hot collabo nyingine anaweza pata grammy Ila kwa obo tusubiri
OohObo wali mfanyia fitina tu, tyla shughuli yake ime ishia hapo.
Album yake ni flop tayari, Ali cancel show watu hakuna.
Davido kasema deluxe edition ya timeless, Ina kuja soon.