Fake P
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 5,506
- 16,583
Ulinzi si ni hapa wakuu au Gate limebomolewaAtakua kwenye jukumu la ulinzi
Ulinzi si ni hapa wakuu au Gate limebomolewaAtakua kwenye jukumu la ulinzi
WanyongweWalinzi mmelala
Adui akija tutakata viuno kipi bora samejaSidiefuu mbona maamuzi magumu sana
Duh! Viuno tena😳Adui akija tutakata viuno kipi bora sameja
ndioDuh! Viuno tena😳
Kama CDF umesema mimi ni nani haswa nipingendio
Nyie Mtajiponza, kama tuna kapteni komandoo muuza madafu, hao private boda na wachuuzi je!Kama CDF umesema mimi ni nani haswa nipinge
Mheshimiwa cdf, nadhani wewe ilibidi uelezee umma ilikuaje mkajichanganya kiasi hichoNyie Mtajiponza, kama tuna kapteni komandoo muuza madafu, hao private boda na wachuuzi je!
Stop callngi mi mweshimiwa, who is kujichanganyalingi? do u think our elite think tank wanakula mshahara wa bure, Noho . messege senteMheshimiwa cdf, nadhani wewe ilibidi uelezee umma ilikuaje mkajichanganya kiasi hicho
Kuna baruti huko. Imarisheni ulinziUlinzi si ni hapa wakuu au Gate limebomolewa
Haha I think mama alivyosema tutapata cdf wa kike akili ikanituma kwako. This time mmefeli pakubwa sana mmeonyesha madhaifu ya MIStop callngi mi mweshimiwa, who is kujichanganyalingi? do u think our elite think tank wanakula mshahara wa bure, Noho . messege sente
Akili yako haikukosea sameja, general staff never wrong. MI the best shoulder to cry onHaha I think mama alivyosema tutapata cdf wa kike akili ikanituma kwako. This time mmefeli pakubwa sana mmeonyesha madhaifu ya MI
Yes SirKuna baruti huko. Imarisheni ulinzi
Kabisa huu mzigo ni wa kuwatwisha waoAkili yako haikukosea sameja, general staff never wrong. MI the best shoulder to cry on