JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Dah hii baridi kidogo unaweza uza mechi. Nachoweza washauri vijana, kabla ya kutoka out, wafikirie ndugu zako, wazazi na wadogo zako kwanza. Asanteni.
Hisia ni mzigo mbaya Kwa kijana, huu Uzi nili uandika Mmu.
Ila hii kauli utakuwaa Usha uza mechi wee😁😁.

Ngono SI salama, Mimi kuliko kwenda kiwanja Bora nipike au niende restaurants nikale msosi mzuri.
 
Dah hii baridi kidogo unaweza uza mechi. Nachoweza washauri vijana, kabla ya kutoka out, wafikirie ndugu zako, wazazi na wadogo zako kwanza. Asanteni.
Hili baridi limenifanya nashindwa kukesha hapa MkuuπŸ˜‚πŸ˜
 
Sija lalamika, coz Mimi ni Mlinzi ieshinla mtu 1.
Hata me naonaπŸ˜‚πŸ˜‚
Mjep, Kichwa Kichafu, Mad Max, Shadow7 yaani hata KU like mme ingia Chaka πŸ˜†πŸ˜πŸ˜

Madame B amka bhana 😁😁

Aisee ko lindoni Niko mwenyewe, Uchira 1, sema kitu??😁

Huyu pimbi Lethergo ana koroma ka chura kabisa πŸ˜πŸ˜†
 
Mlinzi Bora wa Muda wote, nime funga lindo πŸ€“πŸ€’
Walinzi Mnao wasifia ni nani na nani, mbona sioni??!πŸ˜πŸ€“.
Kuni linganisha ni utani bro, coz vichwa vyao vina maji ka wame beba ndooπŸ€“πŸ˜πŸ˜
tafuteni kote, ila kauli yangu ita jirudia, nilisha sema hakuna mlinzi Kama Mimi.
mleteni yoyote mnae mwaminiaπŸ€“πŸ€“πŸ˜πŸ˜
Selikavu ona SasaπŸ˜„πŸ˜‚πŸ€£
 
Back
Top Bottom