Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,436
- 92,227
🤣🤣mwambie
kabisa kabisa loveSiwezi pata stress utumishi(ni), mtaa(ni), ukoo(ni), na humu pia neh neh humu tunyooshe mbavu tu![]()
![]()
![]()
🤣🤣mwambie
kabisa kabisa loveSiwezi pata stress utumishi(ni), mtaa(ni), ukoo(ni), na humu pia neh neh humu tunyooshe mbavu tu![]()
![]()
![]()
Hola, mi amor como estas?hey amico
Yani siku hizi kukuta Mafuriko ya PM zisizo eleweka ni kawaida tu unawaambia uwanja ni wa kutolea stress tu![]()
,![]()
Poleni sana. Kikubwa mjibu tu PM zetu🤣🤣mie nimeacha kuzisoma kabisa aisee...kuchorana tu
Hola, me ensanta la Musica, futbol americanoHola, mi amor como estas?
FelicidadesHola, me ensanta la Musica, futbol americano
Mkuu usitumie Google twende kavu kavu. Deal?Felicidades
Si amigoMkuu usitumie Google twende kavu kavu. Deal?
Apo umesema unavyo penda nikajibu hongera 😁🤣😁Mkuu usitumie Google twende kavu kavu. Deal?
Kuna kipindi niliwahi kusoma kihispaniola Sema nikaja kupiga chini baada ya kazi kua nyingiApo umesema unavyo penda nikajibu hongera 😁🤣😁
🤣🤣🤣Poleni sana. Kikubwa mjibu tu PM zetu
Mvua inanyesha balaa🤒Kuna kipindi niliwahi kusoma kihispaniola Sema nikaja kupiga chini baada ya kazi kua nyingi
Pole kaka aisee Mimi najua cha kuokoteza tu 😂 Kuna dada huku kigamboni alitufundishaga pamoja na kifaransa na lingalaKuna kipindi niliwahi kusoma kihispaniola Sema nikaja kupiga chini baada ya kazi kua nyingi
Kuweni na huruma na vijana jamani hamuoni Hali ya hewa hiii 😁😂😁😁
Hongereni sana watu wa green city mshindwe kulima wenyeweMvua inanyesha balaa🤒
Na joto la jambo lileHili baridi linafaa upate makande, ndizi nyama za motooo☺
Sijui kama mahindi yangu shambani hayajaozaHongereni sana watu wa green city mshindwe kulima wenyewe
Hongera sana mkuu kwenye haya maisha ni vizuri ukajifunza lugha zaidi ya mojaPole kaka aisee Mimi najua cha kuokoteza tu 😂 Kuna dada huku kigamboni alitufundishaga pamoja na kifaransa na lingala
Hadi huku dar Leo imepiga sana sanaMvua inanyesha balaa🤒
Mi kiukweli najua Kiswahili na kinyakyusa aisee🙄Hongera sana mkuu kwenye haya maisha ni vizuri ukajifunza lugha zaidi ya moja