ila mganga wako konyo miss portable.na unavyo subir talak yangu kwa ham[emoji38][emoji38] haachiki mtu hapa nakwambiaa
Hapo sawa. Wale wa street leo wamepanda bei. Sio tena bei elekeziNiko lindo ila nitapita sehemu kwa koloni kusalimia
kweli kabisa na tutakua wachache wengi mtakua mmelalaHuu uzi tukisema tufanye get-together itabidi ifanyike usiku
Ndio mida ya party hiyoHuu uzi tukisema tufanye get-together itabidi ifanyike usiku
ila mganga wako konyo miss portable.
kuna muda unampandisha kisukari sameja ila unamtuliza anarudia matapishi yake![]()
Ndio nzuri hykweli kabisa na tutakua wachache wengi mtakua mmelala
Hahahahaha wale leo soko liko juuHapo sawa. Wale wa street leo wamepanda bei. Sio tena bei elekezi
kivuli haimzuzui zaidi ya yule mr likesportable hiyo konyooo[emoji81] nimejaa minyama nyama ndo inamzuzua bwan kivuli wangu
hiyo watakua active member tu wengine muendelee kulalaNdio nzuri hy
Hakuna atakae kuja hahahahhaaNdio mida ya party hiyo
kivuli haimzuzui zaidi ya yule mr likes![]()
![]()
Labda wajishtukie..mfn mie saa hz niko hapa zambezi ubungo..km unaeza kuja njoo tu ..tulianzisheHakuna atakae kuja hahahahhaa
Niko hapa zambezi ubungo ..karibuhiyo watakua active member tu wengine muendelee kulala![]()
![]()
😁😂🤣🤣😁😁Najua bro Intelligent Businessman unasoma huu uzi. Pole kwa Ban. Najua Mod aliekupiga ni issue personal. Pamoja sana. Lindo lipo salama bro.
Oya nimepita hapo sio muda dah. Maisha aya. Nimeamua kuondoka ile kuongozana nae ananileta huku upande wa riverside hall kwenye uchochoro flani katangulia mi nikaamsha atakua anafika anageuka hamna mtu. Starehe ya dk 5 isinitoe mchezoni aisee.Labda wajishtukie..mfn mie saa hz niko hapa zambezi ubungo..km unaeza kuja njoo tu ..tulianzishe